Tukutane hapa kwa walioshindwa ku-root simu zao

Ila ku root simu ni raha.......Zile WIFI zenye security tunazimudu for free kwa ku hack.....Oy huuu mchezo w ku roooott nimtamu sanaaa
 
mimi nina HTC Desire 820s Dual Sim, tatizo lake inashindwa kuingiza system updates hata baada ya kuzidownload,

ni kwamba inazidownload ila wakati inarestart ili ziingie, inaziingiza kama kidogo halafu panatokea triangle(pembatatu) flan hivi yenye alama ya mshangao(!) ndani yake na hapo ndio inakuwa mwisho haiendelei tena kuingiza...inarestart tena na inawaka kama kawaida.. tatizo lingine la hii simu huwa wakati mwingine inaji-restart yenyewe bila kui-command kufanya hivyo

je niki-iroot inaweza kuwa sawa? msaada wakuu
 
mkuu nisaidie simu yangu nikhwasha ina kuja upugrind app 1 hadh 63 ina tatizo gni tecn w4
 
Nauliza hivii, kwanini nidownlod kwa kingroot kwa kutumia Google na si playstore

17 PHD these are results
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom