TUKUMBUSHANE

TUKUMBUSHANE

Captain Doug

Member
Joined
Jul 24, 2015
Posts
60
Reaction score
20
wadau walosoma zamani kidogo na hata sasa ni shule gani enzi hizo zilikua zikisifika kwa ugomvi na migomo... Binafsi nilikua nasikia kuhusu milambo,kibiti na tambaza mpaka nikatamani japo nisome kwenye shule mojawapo ili nijionee mwenyewe....taja shule yoyote ni vyema ukatukumbusha na tukio kubwa ulolisikia au kukumbana nalo live live shuleni hapo...Thank u all
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom