Chuo cha mafunzo kile, tuliwahi kugoma serikali itihamishe au ituambie kile ni kituo cha mtihani au shule? Shule haina mwalimu wala ratiba ya darasa hakuna, umeme, maji ni anasa, Mzee Malecela alikuja ongea nasi kwa hekima Sana ndio wakawa wanatupoza kwa wali daily, plus Uhuru wa kufanya lolote lile hakuna kufuatiliwa, Mkuu wa shule akawa anasema huwa anapewa wanafunzi wenye division one pekee kuja hapo tofauti na hapo ni disaster, Sisi darasa zima tulipata division one na two mmoja Tu alikuwa anatokea Arusha alipata three simply hakuwa akipenda tabu kabisa na tulipomaliza tu akatimkia ulaya huko.
Maisha ya high school ndio maisha pekee ya shule yaliyonijenga kujitegemea.
Sent using
Jamii Forums mobile app