Nilikuwa naishi jirani na bar ya kwa sonda na dr kisengi cjui kisenge.
Wewe utakuwa na undungu na kijana alikuwa anaitwa Ibrahim Mgumia (Ibra), amefariki hivi karibuni. Alikuwa mwanajeshi, lakini baadae sijui ikawaje akarudi Mboka kwao.
Dr. Kisenge, kuweka record sawa hapo juu. Huyu Daktari alikuwa na Watoto karibu wote wa Kiume ambao walisumbua sana pale Uhazili. Mmoja wa mtoto wake ni Daktari Bingwa wa magonjwa ya Moyo (Cardiovascular) hapo JK - Muhimbili.