Aiseee...Hanging with Mr. Cooper
View attachment 402157
Perfect strangers
View attachment 402158
Family Matters
View attachment 402159
Robocop
View attachment 402160
Dark Justice
View attachment 402161
Pointman
View attachment 402162
Kwa kipindi hicho local TV zetu zilikuwa na vipindi vizuri sana mtu hata hufikirii kutafuta channel za nje
Mzee wa makoti myeusi....hahahhahaHii ndo star alikuwa anaitwa reno renz anapiki piki moja matata sana
Sanaa, hata redioni walikua vzuri...Zamani ITV ilikuwa na vipindi vizuri
CTN na channel ten saa kumi jioni,Nakumbuka CTN walikuwa wanaonyesha sana vipindi vya Cartoon Networks. Enzi hizo hata sijui kama Cartoon Network nayo ni channel.
No, kabla ya lulu alikua Eddie....jamaa mmoja hiv mpole, ss hv yupo makongo juu,Hapo mtangazaji alikuwa lulu aftr faiza
Yaaah....nakumbka hata mama alimnunulia dada angu gauni flan hv limejaa kuanzia kiunon kushka chin....wakawa wanaliita gauni la TNT mwe!CTN walikuwa na movie fulani za kizamani sana, zilikuwa zinaitwa TNT Classic Movies. Nilikuwa napoteza muda sana kuziangalia hizi.
Tulikua tunaita shivoo...hahahhaView attachment 402172kuna hii pia...ilikua na jina lake ila nimelisahau...adi wahusika nilikua nimeweka majina ya kichwani enzi izo ila nimesahau yote
Like sands in hour glass so are the days of our livesDays of our lives
Jamaa aliekua anaota anttena hahhahha anaweza nyanyua kikombe kwa kukinyooshea kidole tu...Kwa upande wa watoto kuanzia 4pm mpaka 6pm
View attachment 402173 View attachment 402174 View attachment 402175 View attachment 402177 View attachment 402178 View attachment 402179 View attachment 402180
Yupo kwenye sanaa na wasanii sioAnaitwa Neema hadi bado yupo ITV
Nilisikia et alikua mpenzi wa diva wa ala za roho, alijatapa sana yule dada....Nani anamkumbuka comedian Mr Cooper?? Alishakuja Tanzania jamaa.
Daah umenikumbusha mbali...Nilisikia et alikua mpenzi wa diva wa ala za roho, alijatapa sana yule dada....
Hahhahhaha hyo ya juzi tu hapa chief, ni nzur pia....ITV nakumbuka SECOND CHANCE TU
Hiyo kweli juzi ..Hahhahhaha hyo ya juzi tu hapa chief, ni nzur pia....