Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,623
Daaaaaaaaaaaaaaaah we Jamaaaa Samcezar nimekukubali Sana afu huwezi amini Jamaa kibao wananiuliza umelitoa wapi hili tangazo nimewaambia nimeenda itv hahahah asante sana good Memories mkuu upo vzr sn kakaHili ndilo tangazo la christmass ambalo hata coca cola wenyewe wanakili walipitiliza ubunifu.................lina mzuka wa hali ya juu. Kama uliliona utotoni miaka ya 1996 basi unaweza tokwa na chozi maana linarejesha kumbukumbu nyingi sana za miaka ile wakati huo sikukuu ilikuwa ni raha sana tofauti na sasa.
Hili ndilo tangazo la christmass ambalo hata coca cola wenyewe wanakili walipitiliza ubunifu.................lina mzuka wa hali ya juu. Kama uliliona utotoni miaka ya 1996 basi unaweza tokwa na chozi maana linarejesha kumbukumbu nyingi sana za miaka ile wakati huo sikukuu ilikuwa ni raha sana tofauti na sasa.
Ha ha ha ha ha ha we jamaa umewafix ....ha ha ha ha ha hiyo ni shida.Daaaaaaaaaaaaaaaah we Jamaaaa Samcezar nimekukubali Sana afu huwezi amini Jamaa kibao wananiuliza umelitoa wapi hili tangazo nimewaambia nimeenda itv hahahah asante sana good Memories mkuu upo vzr sn kaka
Alafu wakawa wanazusha kuwa yule dada wa revola no mlemavuIle sauti yake tu yule dada wa revola, dah sio mchezo
Sunset beachKifuatacho ITV, yule dada muhindi ndo alikuwa anasema kifuatacho ITV na kutoa muhtasari kidogo kama ni tamthilia, nakumbuka tamthilia ya Acapulco, na moja ilikuwa kali sana nimesahau jina ila ina neno beach!
Hili tangazo lilikubalika sana na wadau wengii kipindi kila safi sana mleta tangazoHili ndilo tangazo la christmass ambalo hata coca cola wenyewe wanakili walipitiliza ubunifu.................lina mzuka wa hali ya juu. Kama uliliona utotoni miaka ya 1996 basi unaweza tokwa na chozi maana linarejesha kumbukumbu nyingi sana za miaka ile wakati huo sikukuu ilikuwa ni raha sana tofauti na sasa.
Samcezar upo vzr ndugu Kisare anguhii ni intro scene ya commedy ya "MARTIN". Hapo ni martin amejitengeneza kama mzee otis. Mzee mtata sana huyu hapendagi dharau kutoka kwa vijana kama hapo huyu kijana kachezea kichapo toka kwa mzee otis na wazee wenzake hadi kakoma mwenyewe. Yaani yeye ugomvi wake upo na vijana watukutu hakubali hata sikumoja kijana akosee adabu halafu amuache bila kumnyuka. Ukitazama mwishoni utamuana martin mwenyewe akiwa na mkewe Geena, shineyney (martin akijivalisha kama mdada mkorofi mwenye rasta), then utamuona martin bibi (akijivalisha kama mama yake martin) ila kuna wakali wawili tena yaa " Dragon fly jones" , Jerome na Mr. hawai hao nitawaletea clips zao soon muone jinsi martin alivyokuwa mkali kwenye kujibadilisha badilisha kuwa character wengine.
Ilikuwa lazima uache kazi zingine usifanyeBo Brady, Marlena Evans, John Black, Hope,Stephano Dimera etc..hawa ilikuwa ikifika saa 2 kasorobo usiku lazima uangalie days of our lives CTN
Sunset beachKifuatacho ITV, yule dada muhindi ndo alikuwa anasema kifuatacho ITV na kutoa muhtasari kidogo kama ni tamthilia, nakumbuka tamthilia ya Acapulco, na moja ilikuwa kali sana nimesahau jina ila ina neno beach!
Renegade. Muigizaji alikuwa Lorenzo Lamas.Sie nakumbuka tulikuwa tunamuita rino renz hahahaha
The Bold and the Beautiful ipo mpaka leo. Imefikia season ya 30 kama sikosei.Nilikuwa nafuatilia ingawa cjui wanaongea nn, mpaka inaisha niko nayo
Journey to the west. Shivooo!View attachment 402172kuna hii pia...ilikua na jina lake ila nimelisahau...adi wahusika nilikua nimeweka majina ya kichwani enzi izo ila nimesahau yote
Ni Renegade.Mkuu hujanitendea haki kumsahau rino lenz (sijui kama nimepatia kuandika jina ila ujumbe umefika)
La Mujer de mi VidaNani anamkumbuka Tonito Babaritha Antonio???????