romantic doctor
Member
- Dec 20, 2017
- 25
- 24
Nakumbuka siku ya kwanza "nenda kamwambie" inatambulishwa Kama ngoma mpya mida ya jioni......siku hyo brother angu alinambia "huyu msanii anaimba vzuri Sana atafika mbali"" mi nikaona Kama ananipigia kelele Tu hata sikumjibu kitu.