Nyakwec's Bro
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 820
- 174
Nakumbuka miaka ya 90 na mwanzoni mwa 2000 kulikuwa na majarida ambayo yalikuwa gumzo mtaani kila
yakitoka,majarida haya yalikuwa yakitoka mara moja kwa mwezi.
Kulikuwa na Sani -burudisho la wasomaji,Bongo,Tabasamu,Ambha.
Leo ningependa tukumbushane vichwa vya magazeti hayo unavyovikumbuka,magazeti haya yalikuwa yakitoka yanatoka
na kichwa ambacho kinakuwa na stori inayohusiana na hicho kichwa,mimi ninakumbuka zizi;
1.Kula ni Kula Mbaya Kukomba Mboga
2.Kitanda Kilichonilea
3.No Parking Mabuzi Adimu
Pia kulikuwa na hadithi nzuri sana za michoro kukiwa na wachoraji mahili kama;
John Kaduma - Huyu ni marehem nilisikia alifariki.
Fortunatus Ndila - Sijui yuko wapi
Marco Tibasima - Huyu yupo nimemwona Fb
Tukumbushe unachokumbuka kuhusu majarida hayo na mengine ambayo inawezekana nimeyasahau.
yakitoka,majarida haya yalikuwa yakitoka mara moja kwa mwezi.
Kulikuwa na Sani -burudisho la wasomaji,Bongo,Tabasamu,Ambha.
Leo ningependa tukumbushane vichwa vya magazeti hayo unavyovikumbuka,magazeti haya yalikuwa yakitoka yanatoka
na kichwa ambacho kinakuwa na stori inayohusiana na hicho kichwa,mimi ninakumbuka zizi;
1.Kula ni Kula Mbaya Kukomba Mboga
2.Kitanda Kilichonilea
3.No Parking Mabuzi Adimu
Pia kulikuwa na hadithi nzuri sana za michoro kukiwa na wachoraji mahili kama;
John Kaduma - Huyu ni marehem nilisikia alifariki.
Fortunatus Ndila - Sijui yuko wapi
Marco Tibasima - Huyu yupo nimemwona Fb
Tukumbushe unachokumbuka kuhusu majarida hayo na mengine ambayo inawezekana nimeyasahau.