Manoti Masamaki nalikumbuka nilishakuwa naye mahali miaka ya 1970's.Manyasi Matete na Manoti Masamaki.
Tulifanya nae kazi NASACO miaka ya 80.Manoti Masamaki nalikumbuka nilishakuwa naye mahali miaka ya 1970's.
Labda atakuwa ni huyo huyo .Tulifanya nae kazi NASACO miaka ya 80.
Tulifanya nae kazi NASACO miaka ya 80.
Alikwenda Kilwa Road kumzamini nwenzie Manyasi Matete polisi walikataa mpaka alipokuja askari kutoka Musoma .Aliwaeleza kuwa hayo ni majina ya kweli.Labda atakuwa ni huyo huyo .
Kukutia Ole Pumbuni kwa waliosoma sheria watakuwa wanailifahamu hili jina