Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,785
- 28,806
Enzi zile kipaji pia alikitendea hakiHahaha mkuu nature alikua na kismat sana na mwingi wa vituko
Enzi zile kipaji pia alikitendea hakiHahaha mkuu nature alikua na kismat sana na mwingi wa vituko
jamaa alikua vizuri sanaEnzi zile kipaji pia alikitendea haki
mkuu agiza pepsi baridi kwa bili yako!!Sir Juma Kasim Nature Kiroboto - Ugali. Ugali uliliwa pale pale Diamond ,ile album inatoka nipo form II,niliisikiliza mpaka nikaharibu kanda ya watu.
Bila shaka ni kwenye kibao cha elimu ya mjingaBaadaye akaona isiwe tabu, akaingia ukumbini na tingatinga...
Banza Stone akampa kijembe "Nyumba ya sterehe Kijiko kimefikaje?"
ally chokiha ha viatu vya choki vilisumbua sana...kuna mwingine aliingia na kijiko sijui nani ila Banza alidiss kwenye moja ya nyimbo za TOT BAND...."Kwenye starehe kijiko kimefikaje "
nasikia ni kweli walimteka. jamaa ni mmoja ya wasanii bora wa hiphop kueahi kutokea Tz.Mi nakumbuka jinsi Solo Thang alivyoshindwa kuzindua album yake baada ya kutekwa na kikosi...sasa sijui alitekwa kweli ama zilikuwa kiki tu.
Album ilijulikana kama KIMA CHA CHINI (KCC)
Ni moja ya Album bora kuwahi kutokea katika Bongo Fleva.
wapi badi bakuleha ha ila muziki wa dansi ulikuwa mtamu sana....Huku Ali choki huku Banza Stone kule Mwinjuma Muumini mzee wa Tunda Spesho..
alikuwa mtu wa watuHahaha mkuu nature alikua na kismat sana na mwingi wa vituko
Umenikumbusha Ali Choki na kisa cha Farasi pale Diamond Jubilee.
Ali Choki akiwa katika ubora wa pekee katika dansi alizindua albamu yake siikumbuki jina, sasa akamua kuingia na farasi jukwaani.
Akatokea " mwehu " mmoja akaenda kumtekenya yule farasi aliyepanda Ali Choki.
Basi kilichofuata hapo ni Ali Choki kuanguka chini na toka siku hiyo akaanza kujulikana kwa jina la " Mzee wa Farasi ".
Nje ya mada:
Wangapi mnakumbuka vile viatu ( open shoes ) vilivyokuwa vinaitwa ali choki?
Ahahaja long time sanaUmenikumbusha Ali Choki na kisa cha Farasi pale Diamond Jubilee.
Ali Choki akiwa katika ubora wa pekee katika dansi alizindua albamu yake siikumbuki jina, sasa akamua kuingia na farasi jukwaani.
Akatokea " mwehu " mmoja akaenda kumtekenya yule farasi aliyepanda Ali Choki.
Basi kilichofuata hapo ni Ali Choki kuanguka chini na toka siku hiyo akaanza kujulikana kwa jina la " Mzee wa Farasi ".
Nje ya mada:
Wangapi mnakumbuka vile viatu ( open shoes ) vilivyokuwa vinaitwa ali choki?
Ila Choki kipindi kile alikuwa na vitu Fulani hivi adimu, kiki kama za wabongofleva wa leo. Nakumbuka kuna uzinduzi wa Album moja ya Twangapepeta alitokea juu ya paa, almanusura akatwe na pangaboiUmenikumbusha Ali Choki na kisa cha Farasi pale Diamond Jubilee.
Ali Choki akiwa katika ubora wa pekee katika dansi alizindua albamu yake siikumbuki jina, sasa akamua kuingia na farasi jukwaani.
Akatokea " mwehu " mmoja akaenda kumtekenya yule farasi aliyepanda Ali Choki.
Basi kilichofuata hapo ni Ali Choki kuanguka chini na toka siku hiyo akaanza kujulikana kwa jina la " Mzee wa Farasi ".
Nje ya mada:
Wangapi mnakumbuka vile viatu ( open shoes ) vilivyokuwa vinaitwa ali choki?