Tukubaliane tu "WANAUME WENGI JF - MMU NI VICHECHE"

Haukatazwi kuongea kile unachofikiri, kama ambavyo hatuwakatazi
> Mh. Mch. Mtikila
> Mh. Lyatonga Mrema.
> Mh. Dovutwa M Dovutwa.
Waheshimiwa hawa kila ufikapo uchaguzi hua wanadai (kila mmoja wao) atakua Rais wa nchi hii ! Hakuna anaewakataza wasiseme hivyo.
Hua twawasikiliza kama tulivyokusikiliza wewe, bt wenye akili wanaelewa ulichoingia ni Mchele au Mashudu.
 
It's true ingawa wengi wanajitahidi kubisha ila ndani ya moyo wa moyo wanakubali.

Pia kuna kujazana ujinga na kudanganyana kwingi.

Cha muhimu chukua yenye faida mengine achana nayo,
kifupi ni za kuambiwa changanya na zako.
Vinginevyo misimamo yako mizuri itatoweka mmoja baada ya mwingine.
 
it's true ingawa wengi wanajitahidi kubisha ila ndani ya moyo wa moyo wanakubali.

Pia kuna kujazana ujinga na kudanganyana kwingi.

Cha muhimu chukua yenye faida mengine achana nayo,
kifupi ni za kuambiwa changanya na zako.
Vinginevyo misimamo yako mizuri itatoweka mmoja baada ya mwingine.
great!
 
We! see! Tena koma kabisa kutuchafulia sifa mi mwenzako nimejibana sana mpaka sasa ninao 39 tu.
 
Kuwa na wanawake wengi inakusadia kuwa na hekima na maarifa kama mfalme solomon.wanawake wenyewe wanawapenda alpha man.
 
muanzisha thread unaonekana wewe ni mbea wa kufuatilia mambo ya watu. kwanini lakini?
 
Usimhukumu mtu kwa maneno anayoandika kwani mtu hujifunza kwa kuona,kusikia n.k ingawaje kwenye saikolojia unaweza kujua tabia ya mtu kupitia matendo yake
 
Usimhukumu mtu kwa maneno anayoandika kwani mtu hujifunza kwa kuona,kusikia n.k ingawaje kwenye saikolojia unaweza kujua tabia ya mtu kupitia matendo yake

Maneno yana nafasi kubwa sana kuelezea tabia ya mtu..Hivo mleta mada ana ukweli fulani.....
 
Mara nyingi nimekuwa nikifuatilia Thread na Comment zinazotolewa
na pande hizi mbili na kujaribu kuzilinganisha. Nimegundua kuwa wanaume
wanaopatikana hapa JF- MMU ni Malaya ah! samahani ni vicheche sipendi kuzianika
baadhi ya Thread hapa au majina ya watu wanaoongoza kwa tabia hiyo
isipokuwa kila mmoja ni shahidi.

Mfano Mwanaume anaweza kupost Thread kuhusu wanawake wa Mbeya, Atawaelezea
kiunaga ubaga jambo linalothibitisha kuwa katembea na zaidi ya mmoja. Mwingine
atakwambia ah! wanawake wa mkoa fulani bwana wako hivi kitandani yaani
lugha anayoileta ni wazi kuwa katembea na mwanamke zaidi ya mmoja.

Pia zipo Comment ambazo mtu anakwambia tu huyo kandamiza kisha achana nae,
yaani ni wazi kuwa huyu mtu yuko hivyo. Kwa wanawake si jambo la kawaida sana
kukuta wakisifia wanaume wa mkoa huu na huu labda huko ma mambo ya kk....
Sasa sijui ndo kusema wanaume ndo vicheche zaidi?
Nakusudia wanaopatikana hapa MMU.
Krismas njema waungwana.
Tunataka uthibitisho wa kisayansi na sio wa kinadharia lasivyo na wewe ni kicheche kwa maneno yako uliyoandika hapa kufanya ujumuisho kuwa wanaume ni viwembe.
 
Si kila kocha anao uwezo wa kucheza mpira,ila anao uwezo wa kufundisha na kuelezea kuliko hao wachezaji!
Ogopa sana hao wanaokaa kimya,yaweza kuwa ndio wachezaji wenyewe...
 
Kuanzisha thread kama hii ni uthibitisho tosha kuwa you have INFERIORITY COMPLEX....HAUJIAMINI.....inawezekana kuna kitu ulikuwa unajaribu ku-achieve na umeshindwa...afterall sijaona concrete reason kuonyesha unachokisimamia....dude you're so funny..
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom