Tukisema Clouds Fm wapigaji wanabisha, ona Fiesta vs tetemeko Bukoba

REJESHO HURU

JF-Expert Member
Mar 6, 2014
4,451
9,375
Mara nyingi hiki chombo cha habari cha clouds media wadau wamekuwa wakisema kipo kimaslahi binafsi lakini watu wamekuwa wakibisha.

Haya angalieni tatizo la tetemeko Bukoba jinsi clouds wanavyolipa uzito na upime tamasha lao la Fiesta. Fiesta imezidi kupewa uzito kuliko suala la tetemeko Bukoba kwakuwa tu Fiesta ina maslahi kwao muda huu.

Clouds wangekuwa hawana tamasha la Fiesta basi hili tatizo la Bukoba wangelipa uzito vibaya kama kupatwa kwa jua walivyolikomalia. Ona sasa aibu mataifa ya jirani Kenya, Uganda, Rwanda na baadhi ya nchi za mabara mengine wapo bize kuripoti hili suala zaidi hata ya kupatwa kwa jua.

Ila hiki chombo wala hakijalikomalia hili suala kama tunavyowajua.
 
Uzuri ni kwamba huwa siwasikilizi mawingu najua ni wezi tuu

Zaidi huwa nashangaa mkuu wa nchi, makonda na hapi ndio wana ipenda kweli, serikali haija shughulikia vizuri tatizo hilo na clouds ndio hivo
.*pole kwa wote walio athirika na shida, ndio Tz hii
 
Hoja yako imekaa kichochezi zaidi na imesheheni chuki binafsi ....ulitaka wakaweke kambi ndio ujue wamelipa uzito......usilaumu vitu bila kujifikiria mkuu...suala la maafa lililoikumba kagera ni maafa ya Tanzania yote sio clouds media group.... Kuguswa na kuumizwa na tukio hilo ni la mtu binafsi....wewe uliyelipa uzito umefanya nini mbona hatujakuskia????
Nimewaza kwa sauti
Mmezidi kuipiga majungu clouds media loooh!!!!
 
mkuu una ugomvi na clouds vp kuhusu TBC hilo tetemeko wamelipa kipaombele kama hawajalipa kipaombele wapiga deal ni wepi kama sio tbc ambao wanapewa na ruzuku kutoka serikalini
kiongozi ushawishi wa Clouds na Tbc ni tofauti Clouds wamekuwa na ushawishi kwa vitu hata visivyo na tija kwa jamii zaidi wao wenyewe ndio maana nimeoji hii ya bukoba mnakumbuka mafuriko ya morogoro walivyoikomalia kiukweli watanzania tukifurahi kwa jinsi walivyosimamia show ajabu bukoba hawaipi uzito kivile wakati this is serious issue mataifa makubwa ya habari wana report hili suala sasa sisi vipi tumelogwa au huu ni msiba mkubwa sana kwa taifa hili ni janga la asili wewe fikilia mkuu wa inchi kaaacha ziara ila hawa watu kwakua sasa wana Fiesta inawalipa zaidi kama wanaipotezea hivi nini sasa inabidi tuwambie tu si bifu ukweli tuseme uongo tuseme
 
Vyombo vyetu vya habari karibu vyote huwa Wazito hata kama tukio limetokea hapahapa Tz, cha kushangaza vyombo vya Nje mfano BBC,DW watakupatia report nzuri sana tena kwa kina!
 
..Husikilizi mbona wanatoa taarifa!??pia ukumbuke hiyo clouds ni chombo binafsi...wamewekeza pesa zao nyingi huko fiesta jukumu kubwa hilo ni la TBC...wengine ndio watafuatia.....kwa hiyo clouds ndio imegeuka tv/radio ya taifa?ile ni biashara ya mtu na inatakiwa iheshimiwe tuache majungu....wapo wenye jukumu hilo kwanza ambao ni TBC....
 
kiongozi ushawishi wa Clouds na Tbc ni tofauti Clouds wamekuwa na ushawishi kwa vitu hata visivyo na tija kwa jamii zaidi wao wenyewe ndio maana nimeoji hii ya bukoba mnakumbuka mafuriko ya morogoro walivyoikomalia kiukweli watanzania tukifurahi kwa jinsi walivyosimamia show ajabu bukoba hawaipi uzito kivile wakati this is serious issue mataifa makubwa ya habari wana report hili suala sasa sisi vipi tumelogwa au huu ni msiba mkubwa sana kwa taifa hili ni janga la asili wewe fikilia mkuu wa inchi kaaacha ziara ila hawa watu kwakua sasa wana Fiesta inawalipa zaidi kama wanaipotezea hivi nini sasa inabidi tuwambie tu si bifu ukweli tuseme uongo tuseme
..Haiwezekani na Hakiwezekani unachokisema maana inaonekana huelewi chochote....Biashara yangu ndio ajira yangu then uniingizie ratiba zako za kitaifa ambazo ni jukumu KUBWA la chombo husikaTBC....Acha majungu mkuu!!hayo ni majungu....
 
Hoja yako imekaa kichochezi zaidi na imesheheni chuki binafsi ....ulitaka wakaweke kambi ndio ujue wamelipa uzito......usilaumu vitu bila kujifikiria mkuu...suala la maafa lililoikumba kagera ni maafa ya Tanzania yote sio clouds media group.... Kuguswa na kuumizwa na tukio hilo ni la mtu binafsi....wewe uliyelipa uzito umefanya nini mbona hatujakuskia????
Nimewaza kwa sauti
Mmezidi kuipiga majungu clouds media loooh!!!!
Hivi sijui ni kwanini, vijana tuache wivu, mbaya zaidi tunafanya wivu na watu ambao sio karba yetu kiuchumi. Wengine tunaiga sababu fulani aliposti jambo juu Cloud na mimi na posti ya kwangu, alafu tunakkauli mbiu ya kuulizana, wewe bado unaiisikiliza/kuitaza media hii. Lakini kila tunaloliita kosa huwa tunaliona, wakati hatuzami wala kusikiliza, hii ni ajabu ya walimwengu kwa Ulimwengu.
 
Uzuri ni kwamba huwa siwasikilizi mawingu najua ni wezi tuu

Zaidi huwa nashangaa mkuu wa nchi, makonda na hapi ndio wana ipenda kweli, serikali haija shughulikia vizuri tatizo hilo na clouds ndio hivo
.*pole kwa wote walio athirika na shida, ndio Tz hii
Uzuri pia Clouds hawajaadhirika kwa kuto sikiliza kwako watu maisha yanasonga mbele.
 
Kwa Mala nyingi hichi chombo cha habari clouds media wadau wamekuwa wakisema kipo kimaslahi binafsi watu wamekuwa wakibisha Sijui nini wala nini

Haya angalieni tatizo la tetemeko Bukoba jinsi clouds wanavyolipa uzito na upime tamasha lao la Fiesta

Fiesta imezid kupewa uzito kuliko suala la tetemeko Bukoba kwakua tu Fiesta ina maslahi kwao mda huu

Clouds wangekuwa hawana tamasha la Fiesta basi hili tatizo la bukoba wangelipa uzito vibaya kama kupatwa kwa jua walivyolikomalia

Ona sasa aibu mataifa ya jirani Kenya, Uganda, Rwanda na baazi ya inchi mabara mbali wapo bize kuripoti hili suala zaidi hata ya kupatwa kwa jua

Ila hichi chombo wala akijalikomalia hili suala kama tunavyowajua
TBC taifa ina fanya kazi gani? Fungua radio yako
 
Clouds ni Wafanyabiashara na hawapokei ruzuku toka serikalini as ni Profit Oriented kazi Yao ni kuripoti tetemeko kwa kadri walivyoripoti masuala ya kutoa uzito sijui nini peleka TBC. Acheni kuwaza kijamaa kwny Dunia ya Kibepari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom