Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 40,000
Mnafikiri ni kwa haraka kiasi gani watawala wetu watajaribu kutatua tatizo la umeme na maji endapo majenereta na matanki ya maji yatapigwa marufuku mijini? I bet you very soon...wouldn't you agree?
Mnafikiri ni kwa haraka kiasi gani watawala wetu watajaribu kutatua tatizo la umeme na maji endapo majenereta na matanki ya maji yatapigwa marufuku mijini? I bet you very soon...wouldn't you agree?
Kuna mambo mengi yanayofanana majenereta na matanki ya maji. Kukiwa na matatizo ya shule, mtu anatafuta pesa ampeleke mtoto wake shule nzuri ya kulipia. Wakati wa zamani shule ya kulipia walikwenda waliokosa nafasi shule za umma. Barabara zikiwa mbovu, mtu anataka kununua SUV, shangingi. Na vitu vingine vinasababisha sehemu fulani ya inflation.
unajua kama jua haliwapigi wao unafikiri wanasumbuka kuona wengine wanapata vivuli? Mimi naamini ni kama template fulani hivi inatumika. Yaani, kwa mfano lile la taasisi ya Moyo.. shule zetu na hata kwenye jeshi la polisi.. can you imagine kuna mashirika ya kuzima moto ya binafsi yanayofanya kazi ya umma kwa malipo? Hata Polisi imefikia kuwa na ubinafsishaji wa aina fulani..
Swala la nishati na madini linaendeshwa kisaani humu nchini kwetu hadi hapo tutakapo kurupuka na kujua ni kipi cha kufanya. Bila kuitikisa seriklai ni sawa na kutwanga tu maji kwa kinu. Sera ni mbovu hazi wezi kutuletea maendeleo kamwe Umeme utakuwa wa mgao tuu siku zote mfano mzuri mpaka leo watanzania wengi hawajui chanzo cha mgao huu bali wachache wanasikila kuwa kuna tatizo la vipuli vimeharibika huko Dar sasa kwanini huku mikoani tukumbwe na hilo tatatizo la umeme je ingekuwa ni mwanza wana tatizo hilo je Dar wange wekwa kwa mgao nao???
Kama Tanesco wanashindwa tuu kuagiza Transformer tokea Tanelec Arusha ambako zinatengenezwa na kubadirishi ile iliyo haribi mfano hapo masaki labda ianawachukua miezi 2. Haliingii akilini kabisa
interesting thinking...ivi umeme kutoka makampuni binafsi ni marufuku?
sidhani kama ku-ban majenereta itawezekana!dawa ni kuja na alternative means ya ku-dili na hii ishu! kuanzisha kampuni binafsi inaweza kuwa moja ya alternatives!
ni maajabu sana, kuwa badala ya wenye bajeti kuimarisha zimamoto, wanakodisha binafsi ha hela ya kulipa inapatikana!!! haya yanawezekana Tanzania tu!! nikati ya sife zetu maalum za pekee
Mnafikiri ni kwa haraka kiasi gani watawala wetu watajaribu kutatua tatizo la umeme na maji endapo majenereta na matanki ya maji yatapigwa marufuku mijini? I bet you very soon...wouldn't you agree?