Tukiondoa muda ni nini kinabaki?

Mm nimeelewa vzr sana
 
Maana yake tumejitengenezea mfumo ambao ni ngumu kuishi nje yake,
Lakini ingewezekana kuishi kama wakale, sindio ?

Wa kale pia walihitaji kufahamu muda/majira kupambana na changamoto zao ,tofauti yao ilikuwa ni njia walizo tumia kufahamu wakati..

Kwa mfano bila ya muda au vipindi flani vya majira inge wezekana vipi kujua wakati sahihi wa kupanda mazao yao !?.
 
Ni athari gani ambazo tunaweza kuzipata tukiondoa utambuzi huo wa muda ikiwa binadam wa mwanzo hawakuweza kuzipata na waliishi pasipo calculations za muda kama sisi tunavyozijua

Athari ni nyingi sana ,na sidhani kama hawakuwa wakitunza muda ila ilikuwa kizamani sana.Binafsi nnakumbuka kwa sababu ya uduni na hali ya umasikini nilikuwa nikitunza muda kwa kuangalia kimvuli cha Jua na wakati mwingine Jua lenyewe.

Nilijua muda upi ni sahihi kuwahi Shule na muda upi ni sahihi kurudi Nyumbani kupambana na Kazi za Nyumbani.Wale Jamaa warina Asali wanao ishi porini ukiwachunguza ni lazima wana namna yao ya kutunza muda.
 

Ukiishi na jamii kama hazdabe unakuwa umeondoa muda ..
 
Ukienda tu mahakamani inaitajka ushahidi wa muda wa tukio, kwahyo hivi vitu vilikuja automatically ili kurahisisha baadhi ya mambo.
 
Sure sure umemaliza mkuu.

Sent from my itel A571W using JamiiForums mobile app
 
Tukisema Mungu mwenye nguvu zote mmiliki wa hii dunia na ulimwengu wote alitumia muda wa siku saba kuumba hii dunia na ulimwengu wote tunakuwa tunakosea? Au wakati wa uumbaji hakukuwa na muda?
 
Maana yake tumejitengenezea mfumo ambao ni ngumu kuishi nje yake,
Lakini ingewezekana kuishi kama wakale, sindio ?
Wewe una hakika gani ya kuwa wakale hawakuwa na mifumo yao kuangalia muda? Wewe kwako muda unatafsiri kwa sababu kuna saa,simu,kalenda, na majina ya siku,week,mwezi,miaka. Sasa em tuondoe ivyo vitu tuone wakale walitumia nini kujua Muda.
Kwa mufano kabla ya Yesu muda uliesabiwa kurudi nyuma. Mf mfalme fulan alitawala kuanzia mwaka 570 hadi 538 ..je siku zilikuwa zinarudi nyuma? Walitumia nini kujua muda kwa wakati wao? Kwa hiyo huwezi kuondoa Muda maana ndiyo maisha halisi. Ukiondoa muda manake hakuna maisha tena.
 
Wewe mutoa mada soma komenti ya huyu mwamba.
 
Hakuna present kwa sababu kila kitokeacho tayari ni past. Huyo jamaa alikuwa sahihi kimtindo. Kuhusu future hiyo illusion tu haina maana kwamba inaweza kutokea.
 
Tukisema Mungu mwenye nguvu zote mmiliki wa hii dunia na ulimwengu wote alitumia muda wa siku saba kuumba hii dunia na ulimwengu wote tunakuwa tunakosea? Au wakati wa uumbaji hakukuwa na muda?
Kwanza inabidi uthibitishe huyo Mungu yupo na si zao la fikra zako tu.
 
Mungu yupo. Wewe dhibitisha kuwa hayupo.
Kwanza hujui tofauti ya dhibitisha na thibitisha.

Pili hujui kati ya anayesema Mungu yupo na anayebisha, nani ana "burden of proof" kuthibitisha.

Hujui mambo ya msingi kabisa katika kanuni za mijadala hii.

Hujathibitisha Mungu yupo.
 
...Umeishatuchanganya![emoji846] Mimi nlidhani JUA, na Sio MWEZI, ndio Mhimili Mkuu wa Muda??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…