nakubaliana n a wewe ila tuvute subira ndugu, FBI hawabahatishagi na wao wako kaziniWeledi wa polisi wa Tanzania umeishia hapo! Wana homework nyingi, zipo wazi lakini hawataki kuthubutu kusema ukweli?
Victor hakutakiwa kutajwa kirahisi kuwa ndo alirusha, ila baada ya kujidhihirisha sana.
Cha msingi watuambie kutoka Zanzibar, Dar na Busegesege, nani yupo nyuma? Nani masterplanner wao? Naona ngonjera za akina kova na mkenya zimeanza arusha, kila kitu wanachukulia majibu kuwa ni siasa.
kweli jf ina mambo, hivi huyo 'mtoto' Martina Chambili yuko wapi jamani atuimbie tena!Tanzania ee..
Nchi yangu ee..
Kwani unafikiri atakubali kirahisi kuwa alikuwa mshirika wa hilo tukio ? Kama hakuwa ana husika kitu gani kilimfanya akimbie huku akipiga kelele za mwizi ?? Kuna mambo mengi bado hayajafumuliwa ikiwemo mambo ya kisiasa hasa ukizingatia uchaguzi wa madiwani Arusha . Embu tusubiri tuone F.B.I watasemaje kwenye hili tukio maana polisi wetu hawaminiki .
Huu ni udhaifu wa kipuuzi sana, kupindisha ukweli kwa kuwaogopa watu tu.Lakini serikali ya URT = United REpublic of Tanzania; walivyokuwa waoga na upande wa pili, wanataka ku-balance hii issue; please URT Gov, iite "koreo koreo"
Ofisi ya DPP ilivyo janga la kitaifa, hukawii kusikia kwenye hati ya mashtaka imeandikwa Victor kama ndiye mtuhumiwa namba moja kwenye kesi ya ugaidi. Unategemea nini zaidi ya mahakama kutupilia mbali kesi hii.
Kwani unafikiri atakubali kirahisi kuwa alikuwa mshirika wa hilo tukio ? Kama hakuwa ana husika kitu gani kilimfanya akimbie huku akipiga kelele za mwizi ?? Kuna mambo mengi bado hayajafumuliwa ikiwemo mambo ya kisiasa hasa ukizingatia uchaguzi wa madiwani Arusha . Embu tusubiri tuone F.B.I watasemaje kwenye hili tukio maana polisi wetu hawaminiki .[/QUOT]
Lakini mkubwa japo halijafikia mwisho kiuchunguzi..si amesema mleta mada hapo kuwa wenzake walimwambia kuwa kuna mtu alitaka kumdhulumu hela/pesa yake ya ujira wa bodaboda ndio akawa anamkimbiza na neno mwizi ndio ambalo lingefaa sana kumpata huyo mjamaa..bado POLISI na MASHUSHU wengine wanakazi ya kumpata nani ni Muhusika hasa...
napatwa hasira sana na wasiwasi wa Kardinali pengo ameshalishwa siasa ndani ya moyo wake yule mzee,hekima ishamtoweka kabisaa.nchimbi hafai kabisa kuwa waziri huwezi taja jina la mtu kabla upelelezi haujafanyika tha bullshitsHatimae nimejua Ambrose ni nani.!
Kumbe polisi hakuna chochote walichofanya zaidi ya siasa, Ambrose mwenyewe alikamatwa na raia na sio polisi.
na hii ya kusema tukio haliusiani na udini wanaitoa wapi ikiwa mtuhumiwa mwenyewe hajakamatwa.?
hao waarabu umesikia hata majina yao ndugu hamna mwarabu aliyekamatwa ,walahi ningekuwa nauwezo bora kuangamiz kile kizazi mle ndani ya bunge tuanze upya kwa kweli wanaudhi sana wale watu.nakosa uvumilivu ngoja nioondoke humu maana mada hizi ndio mods wanazipendaKama kweli dogo alikodishwa na mtu ambaye hamfahamu,na alipofika kanisani jamaa akateremka akakimbia,sasa naweza elewa kwanini alikua anakimbia akisema mwizi mwizi mwizi...! Lakini naanza kupata picha kwamba hata hao waarabu watakua hawahusiki. Waliopanga dili zima bado wanatembea huru mtaani!