Tukio la ajabu Kwa Mtogole linaninyima usingizi

Tukio la ajabu Kwa Mtogole linaninyima usingizi

Hiyo mitaa ni hatari sana kwenye haya mambo ya jadi, nimekaa Kwa Ali Maua miaka 5, kipindi hicho Bibi nyau bado yupo.
 
Seriously niliokoka na kuacha kila kitu cha giza soma hii

Niliokoka nikiwa peke yangu chumbani usiku tena ugenini | Page 4 | JamiiForums Niliokoka nikiwa peke yangu chumbani usiku tena ugenini
Sasa kwa uzoefu wako kwenye mambo ya giza kama ambavyo umekuwa ukijinasibu humu hilo tukio dogo tu ndiyo liwe la ajabu kwako hadi likukoseshe usingizi? Binafsi siyo muumini wa hizo mambo lakini pia kwenye story yako sijaona cha ajabu cha kupelekea mtu mzima akose usingizi.
 
Sasa kwa uzoefu wako kwenye mambo ya giza kama ambavyo umekuwa ukijinasibu humu hilo tukio dogo tu ndiyo liwe la ajabu kwako hadi likukoseshe usingizi? Binafsi siyo muumini wa hizo mambo lakini pia kwenye story yako sijaona cha ajabu cha kupelekea mtu mzima akose usingizi.
Uko sawa kwa mtazamo wako lakini kwangu pamoja na uzoefu wangu limekuwa la ajabu sana
 
Inawezekana ulikuwa unaona peke yako wengine wanaona foleni ya kawaida tu
 
Mkuu wanyama hawakai road hovyo hovyo hasa kwa mifugo kama ile ya Tandale.

Hao kuna maagizo walikuw wanawek sawa
 
Back
Top Bottom