Tukio gani mwaka 2016 hutolisahau?

Tukio gani mwaka 2016 hutolisahau?

Joined
Jul 27, 2016
Posts
16
Reaction score
12
Zikiwa zimebaki siku 26 tumalize mwaka binafsi katika ma tukio sinto yasahau ni haya;

1) Kuanzishwa kwa madodoso ya mikopo.
2) Harakati za UKUTA.
3) Misaada kwa ndugu zetu wahaya.

go ahead.
 
Uhakiki wa watumishi usio isha. Kila siku mnakaguliwa vitu vilevile vya siku zote wakati taarifa zetu zipo masijala kwenye mafaili na kwa afisa utumishi.
 
424d34815171d04b4750ddb9510fb984.jpg


Ilo hapo
 
Uhakiki wa watumishi usio isha. Kila siku mnakaguliwa vitu vilevile vya siku zote wakati taarifa zetu zipo masijala kwenye mafaili na kwa afisa utumishi.
Daaah! Nilikuwa nakimbilia kucomment hiv hiv hili zoezi kuna viongozi wa nchi wengi nimewatukana kimoyo moyo zaidi ya Mara 1000 mwaka huu.
 
Kusitishwa kwa ajira zaidi ya mwaka mzima,

Ktokuwa na nyongeza mshahara July,

Ktokpanda madaraja kazn,

Ktolewa kwa FAO la kujitoa ktk mifuko ya jamii,

Ongezeko la 15% katk makato mkopo elimu ya juu kwa wafanyakazi,

Kuadimika kwa hela kama bikra kwa changudoa,

Ktokufatwa kwa katb ya nchi,

Nchi kuendeshwa kama familia ya mtu,

Woga kwa watumishi/kutumbuliwa kama majipu,

Ongezeko la kodi,

Mijadala isiyoisha ktk mitandao kijamii kujadili uongoz wa awamu 5,

Ununuzi wa ndege 2 na wanafunz elimu juu kukosa mkopo,

Serikali kuchukua pesa za wahanga na kupeleka kujenga miundo mbinu huku walia njaa na kulala nje,

Kukosekana kwa demokrasia hasa kutokuwepo na multpatism,

UHAKIKI usoisha MPAKA na vyet vya ndoa huku mambo mengne ya utumishi na ajira yakiwa yamesimama!

NGOJA NIISHIE HAPO, MENGI NAONA NI NEGATIVE YALIYOFANYWA NA SERIKALI AWAMU 5 MPAKA LEO, NIKPATA POSITIVE NTARUDI!
 
Uhakiki wa watumishi usio isha. Kila siku mnakaguliwa vitu vilevile vya siku zote wakati taarifa zetu zipo masijala kwenye mafaili na kwa afisa utumishi.
ha ha ha na bado mkataguliwa hadi sehemu za sirini
 
Uhakiki, uhakiki, uhakiki, uhakiki,,,,,, uhakiki....,,...,.,.............uhakiki, ,,,,,,,,,,,,,,,,uhakiki,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,utenguzi na uteuzi kila Mara...,..... ... Mm si wa kujaribiwa, anayetaka ajaribu
 
haaaaa NDALICHAKO kaandika historia huu mwaka sitomsahau kwa mengi kwa kwel
 
Zikiwa zimebaki siku 26 tumalize mwaka binafsi katika ma tukio sinto yasahau ni haya;

1) Kuanzishwa kwa madodoso ya mikopo.
2) Harakati za UKUTA.
3) Misaada kwa ndugu zetu wahaya.

go ahead.
Mimi binafsi kwa mwaka huu 2016 sitosaau nilivyo-experience maisha magumu chuoni...daaaah nimeyumbishwa Sana haswa maswala ya mkopo...hadi nilikata na tamaa....aseee....nilitamani nikae juu angani niwaambie bodi ya mikopo jinsi ninavyolia ...daaah huu mwaka hapana kwakweli....ila ngoja nisikilize appeal yangu...nikinyimwa tena huu mwaka ujao hautokuwa tofauti na uliopita...
 
Back
Top Bottom