T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,174
- 28,322
Hahahahaha.....kuna dogo na yeye alifanyaga hivyo.Nikiwa na miaka 9 kijijini tulikua tunaoga kwenye mto alafu ni watu wa rika mbali mbali basi nikawa na tabia ya kushangaa sana kuwaona wale watu walionizidi umri wameota nywele sehem zao za siri, na mimi nikawa na shauku kweli ya kuota izo nywee, bwanae nikapata akili ya kuokota nywele zilizotupwa nikatafta na minyaa nikajibandikia rundo la nywele kwenye sehem zangu za cri, kidume nikaenda home alaf nikamkuta bi mkubwa anapika nikachukua sabuni na uzi mimi mbio mpka mtoni, nikawakuta wakubwa wanaoga na mimi nikajitosa kuoga nilivyovua2 nguo wakaanza kushangaa wale wakubwa na mimi naona ujiko kweli, walinikamata nilipewa kibano mpka nikaongea, nikapelekwa kwa Bi mkubwa uko ndio nilienda kupewa kipigo tukufu, kumbe ile minyaa nilijishika kwenye dushe wakati nabandikia zile nywele, dushe lilivimba kesho yake kama kichwa cha kobra mkojo ukawa hautoki nilipelekwa Hospitali mbona, kimbembe kilikuja kwenye kuyabandua yale nywele nilipata maumivu makali sana, mpka Leo naona aibu sana mbele ya familia japo ni miaka mingi imepita