Aisee Mwanamke Mchafu Mimi hapanaNdoa yangu ina hizi tabia...mama mtu ni mbulu...ni mzuri haswa...hilo la mtoto kuumwa ilibaki kidogo nimpoteze binti yangu....ila nilimkimbiza St francis hospital -ifakara. Aliponea huko....mama mtu ni mzembe vibaya mno...na ni mchafu...kitoto kinaumwa kila siku...kinawashwa mwili, upere, na homa kila wakati wazeee....aloo nateseka mpaka kupiga mzigo kwa mama mtu nashindwa kabisa....nimepoteza hisia nae kabisa
Umeelewa changamoto aliyoipata mtoto baada ya kuwekewa damu?Nyie ni wapumbavu.
Maugomvi yenu mnayahamishia mpaka kwa watoto?
Watoto wakiumwa mnapaswa muwe serious na muweke tofauti zenu pembeni mumtibu mtoto mpaka apone.
Nimeelewa kila kitu mkuu.Umeelewa changamoto aliyoipata mtoto baada ya kuwekewa damu?
Punguza mihemko dogonashukuru, we endelea kuwa unaleta dhihaka kwny posts zangu na comments zangu, lakn jtahid kuwa na hekma siyo kila post ni ya kumdhihaki mtu ili ufurahishe watu humu.
Mkuu weka house girl mtu mzima ili angalau awe anamjali mtoto.Ndoa yangu ina hizi tabia...mama mtu ni mbulu...ni mzuri haswa...hilo la mtoto kuumwa ilibaki kidogo nimpoteze binti yangu....ila nilimkimbiza St francis hospital -ifakara. Aliponea huko....mama mtu ni mzembe vibaya mno...na ni mchafu...kitoto kinaumwa kila siku...kinawashwa mwili, upere, na homa kila wakati wazeee....aloo nateseka mpaka kupiga mzigo kwa mama mtu nashindwa kabisa....nimepoteza hisia nae kabisa