Choosen85
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,190
- 5,061
Wakuu kheri....ilaaniwe CCM na watu wake wote ndiyo adui namba 1 wa taifa hili na raia wake.
Kwanza kama unaishi na mwanamke na mnaona kbs hampgi hatua, magomvi hayaishi kila sku ni afadhari ya jana aisee kabla hamjachelewa na kufka mbali hasa kuwa na watoto wengi, muachane tu.
TUKIO LA KUUGUA MTOTO NA KUFARIKI:
Tulikuwa na mtoto wetu wa kiume ambaye alikuwa na changamoto ya kuishiwa damu mara kwa mara, sku nlirud home usku sn kutokana na changamoto za usafiri nlifka saa sita usku nikakuta mtoto analia na kujinyonganyonga sn na mama ake anambembeleza, nlipouliza mama ake akasema naye ametoka kazin jion kamkuta analia ivyoivyo nlimlaumu sn kwann hakunijuza au why hakumpeleka hospital tulikorofshana kbs usku hatukulala tuliamka usku saa kumi alfajiri kumpeleka hospital, alianza kujsaidia mpk damu kufka hosptl ikashndkana wakampeleka muhimbili, mama ake anasema walimuwekea damu ile imeanza kwenda wakaichomoa haraka na mtoto akaanza kuvimba macho, alinipgia cm kwmb kuna hali ya namna hiyo..taendelea
Kwanza kama unaishi na mwanamke na mnaona kbs hampgi hatua, magomvi hayaishi kila sku ni afadhari ya jana aisee kabla hamjachelewa na kufka mbali hasa kuwa na watoto wengi, muachane tu.
TUKIO LA KUUGUA MTOTO NA KUFARIKI:
Tulikuwa na mtoto wetu wa kiume ambaye alikuwa na changamoto ya kuishiwa damu mara kwa mara, sku nlirud home usku sn kutokana na changamoto za usafiri nlifka saa sita usku nikakuta mtoto analia na kujinyonganyonga sn na mama ake anambembeleza, nlipouliza mama ake akasema naye ametoka kazin jion kamkuta analia ivyoivyo nlimlaumu sn kwann hakunijuza au why hakumpeleka hospital tulikorofshana kbs usku hatukulala tuliamka usku saa kumi alfajiri kumpeleka hospital, alianza kujsaidia mpk damu kufka hosptl ikashndkana wakampeleka muhimbili, mama ake anasema walimuwekea damu ile imeanza kwenda wakaichomoa haraka na mtoto akaanza kuvimba macho, alinipgia cm kwmb kuna hali ya namna hiyo..taendelea