Na nyie mbona hamvai bukta Kama za shule ya msingi Kama zaman wakat ndo utamaduni wetu badala yake mnavaa suruali tena modal na wengine minyonyo MTU anaishi anavyotaka siyo wewe unavyotaka wewe istoshe asilimia kubwa ya nguo tunazovaa tumeiga hivyo MTU anachagua fashion Gan avae ukisema turudi asili yetu tutaanza kuvaa ngoz na kaniki