Mie nilijua anakatikia ili kufikia zile kona kali na yeye apate raha... sikujua ukikatika ndio unapoteza concentration... au nimekosea?
Sasa mm zile mechi za Mchangani anakatika mpaka ananichubua hii vp akina mama nimfanyaje apunguze haya manjonjo maana inakuwa maumivu sasa mtu anajituma mpaka kwenye penati.
Ndo hapo kaka wenzio wataalamu wanasema yakizidi sana wewe utakuwa unamwacha mwenzio njia panda halafu atakukimbia au?