Tukatae tukubali kuna wanawake warembo jamani

Tukatae tukubali kuna wanawake warembo jamani

Attachments

  • 1421257289307.jpg
    1421257289307.jpg
    29.1 KB · Views: 1,185
Ingekuwa vizuri ukatuwekea wewe kwanza hao unaowawaza wakoje sie tuone maana urembo wa mwanamke unategemea yule anayemuona, tena akiwa halisia sio aliyepita saluni na kuongezewa vionjo.

Fatilia thread nimeshaweka hiyo nyngine basi weka na wewe huyo mrembo wako
 

Attachments

  • 1421274643683.jpg
    1421274643683.jpg
    34.5 KB · Views: 1,625
Mmh
Sura sio nzuri.....hujaoba wazuri ww...mi mwenywe kuna wadada wenzangu nwakubali...

Hii kweli... kuna siku tulipishana na msichana njiani kiukweli alikuwa mzuri tukajua ni sisi tu tunamtaza... kwa pembeni yetu walikuwapo wadada hadi nao walikiri kwa uzuri wa yule dada.

Kuna wadada kwa muonekana wako vizuri sana
 
Kama hiki??
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1421309247271.jpg
    uploadfromtaptalk1421309247271.jpg
    8 KB · Views: 620
Back
Top Bottom