Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,487
Hebu oneni hilo toto kweli wameumbika bana.tusibishe tuuu?
huyu umbo limetulia lakini sura kama haijatulia.
yupo huyu Boumeediene,mtoto ametulia sana reception
Hebu oneni hilo toto kweli wameumbika bana.tusibishe tuuu?
beauty attracts, but personality keeps!
Ingekuwa vizuri ukatuwekea wewe kwanza hao unaowawaza wakoje sie tuone maana urembo wa mwanamke unategemea yule anayemuona, tena akiwa halisia sio aliyepita saluni na kuongezewa vionjo.
Lazima nimsifie atiii hahahahaWacha weee...hongera sana
Hebu oneni hilo toto kweli wameumbika bana.tusibishe tuuu?
Lazima nimsifie atiii hahahaha
Na usiposifia wewe ma bazazi yatasifia hukoo alafu uonekane hupendiWala hujakosea wako mwenyeo ati tena unajua kuchagua kwanini usijisie?
Warembo kama miss neddy
Hebu oneni hilo toto kweli wameumbika bana.tusibishe tuuu?
Mmh
Sura sio nzuri.....hujaoba wazuri ww...mi mwenywe kuna wadada wenzangu nwakubali...
Kumbe mnawaongelea warembo Mimi nilijua wazuri.
Hapa warembo tu mamaa,si unajua hela tu ndo nzuri!!
Duh...ivi izi picha mnazitoaga wapi nazipendaga sana...duh hapa nlipo presha iko juu mpaka nmeagiza maji baridi na mvua hii...
Mie mwenzio napendaga mapaja nkiyaona tu balaa..