Tukatae tukubali kuna wanawake warembo jamani

Tukatae tukubali kuna wanawake warembo jamani

Hilo...halina ubishi. ILa hao warembo sana ukiwataka ...ili awe wako...usiwe na presha/ usiwe na hasira coz utazeeka fasta, usiwe na gubu..utakufa kihoro bana. Wew furahia unapomuona, unapomgegeda, ukiwa mbali naye usiwaze kumegewa.

Hapo life yako itakuwa flexh. Tena usiichubguze cm yake, na kama ni sekretary ....ama mhasibu, baaasi ndg yangu kuwa mpoooleee kabisa...Maana utakuwa umeelewa kwambaa, MCHOYO HANA RAFKI....NA KIZURI...KULA NA WENZIO. Mshukuru Mungu kwa yoteeee.

Una maana gani kusema mhasibu....ujue unagusa maisha ya watu...
 
Hebu oneni hilo toto kweli wameumbika bana.tusibishe tuuu?

Duh...ivi izi picha mnazitoaga wapi nazipendaga sana...duh hapa nlipo presha iko juu mpaka nmeagiza maji baridi na mvua hii...
Mie mwenzio napendaga mapaja nkiyaona tu balaa..
 
Yaani wapo jamani mungu kawapendelea ni warembo hata wanawake wenzao wanawakubali yaani kuanzia sura,kifuani,kiunoni,hips,huko nyumanju,guu .mm nimeona niwaeleze hayo.mwenye picha ya mfano wekeni

Kama ni warembo hawa hapa,ukihitaji picha za wazuri useme. Warembo hawa hapa samakinchanga
yaan.jpg
 
Last edited by a moderator:
Hakuna kinachozungumziwa humu kisichogusa maisha ya mtu/watu. Nia ni njema kabisa...watu wajitambue na waweze kukubali na kukabiliana na hali halisi ya mambo.

Ndo maana nikasemaaa...kama wako ni mzuri xanaaa...basi fumba macho usali...na usifumbue macho katkat ya sala, coz kufanya ivooo utakuwa umekosa imani. Usimuwazie mwenzio vibaya kwa kuwa wamuona ni mzuri sana. ELEWA KUWA KIZURIII..KINA WENGI..Xo si vibaya ukila na wenzako...ila wakuheshimu..na..wasikuoneshe kama nao wanakula hapo.
 
hakuna mwanamke ambae sio mrembo
kila mtu ana advantage na disadvantage
wengine waur kimuonekano bt papuch yake haina ladha
 
Yaani wapo jamani mungu kawapendelea ni warembo hata wanawake wenzao wanawakubali yaani kuanzia sura,kifuani,kiunoni,hips,huko nyumanju,guu .mm nimeona niwaeleze hayo.mwenye picha ya mfano wekeni


"KAma mimiiiiii" in madam wema voice!
 
Ni kweli mkuu wapo.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Yaani wapo jamani Mungu kawapendelea ni warembo hata wanawake wenzao wanawakubali yaani kuanzia sura,kifuani,kiunoni,hips,huko nyuma,guu.Mimi nimeona niwaeleze hayo,mwenye picha ya mfano wekeni.
Ingekuwa vizuri ukatuwekea wewe kwanza hao unaowawaza wakoje sie tuone maana urembo wa mwanamke unategemea yule anayemuona, tena akiwa halisia sio aliyepita saluni na kuongezewa vionjo.
 
Kwa kigezo cha sura kuanzia shingoni mpaka kichwani pia kuna wanawake wabaya sana jamani
 
Back
Top Bottom