Tujuzane zaidi kuhusu nchi ya Ethiopia

Tujuzane zaidi kuhusu nchi ya Ethiopia

Uchumi wa nchi upo vizuri sanaaa ila wananchi ni masking sanaa Kwa africa ni nchi ya Kwanzaa kutoa wakimbizi wa kiuchumi

Ina maelfu ya wakimbizi wanaoishi somaliland
ad2fc0f6d765342af6657bd6df9717c0.gif


Kumbe Dar port iko karibu hivo?
 
Tukiwa tumepokea ugeni wa Waziri Mkuu wa Ethiopia sio mbaya sana leo tukipeana maarifa zaidi kuhusu nchi hii iliyopo pembezoni(horn) mwa Afrika kwani naona kama ina historia nzuri sana kuanzia enzi za kikoloni mpaka Leo.

Kwa uelewa wangu mdogo najua mji wake Mkuu Unaitwa Adis Ababa, imewahi kuwa na wafalme maarufu kama vile Menelik na Haile Selasie.

Ni kati ya nchi ambazo hazikutaliwa na Wakoloni pamoja na Liberia kama nlivyomsikia Rais wetu Leo katika hotuba yake ya Kumkaribisha Mgeni wake, na pia mwl wangu wa Historia aliniambia sababu kuwa Ethiopia ina asili ya milima yenye mawe makubwa hivyo walikua wakiwaporomoshea wazungu hayo mawe, Wakoloni wenyewe nasikia walikua Waitaliano.

Kwa kifupi ni hayo nawe unakaribishwa zaidi kutujuza kuhusu nchi ya Ethiopia.

Karibuni.
Ni nchi ambayo Raia wake wamejaa kwenye magereza ya Tanzania baada ya kuzamia kinyume cha sheria za uhamiaji KWA KUKIMBIA NJAA KWAO .
 
Faida wanayopata Ethiopia Airlines kwa mwaka chukua mashirika yote ya ndege africa combined hayaifikii"
 
Asante Mkuu . Pia Ethiopia ina wanawake wazuri sana yaani sana

Ni wazuri sana kwa sura ila ni wachafu wa mwili hawaogi na wachafu pia kwa yale mambo yetu huku bongo tunasema ni maharage ya mbeya., hawa na wasingida hamna tofauti.
 
Nilitegemea huu Uzi ungekuwa na details za kutosha hasa kutoka kwa ndugu zetu wa Mbulu ambapo kabila la Wairaq asili yao ni Ethiopia
wairaqw waliondoka huko karne nyingi sana,,,walikuja tanzania na tamadun za kihabeshi kama umwagiliaji,ukeketaji na lugha,,waeritria na waethiopia hujitambulisha kama wahabeshi(habesha)bila kujal kabila zao wakiwa nje ya nchi,lugha kuu ya ethiopia ni amhara(amharic;kiingereza)na makabila makuu ni:amhara,tigray,oromo
 
Na kwao iwe jua iwe mvua huwezi sikia kelele za njaa tena. Hawategemei mvua kulima wana Irrigation sytem nzuri balaa kutokea Nile. Sisi tuna victoria.nyassa.tanganyika etc but mvua ikigoma kidogo.tu tanalia balaa
Sana tu
 
Back
Top Bottom