Na kwa mwaka mzima Unakua umelipa riba ya 60%.Katika mikopo ya kifala kabisa ni hii kitu ya kuitwa salary advance. Yaani kama hauko makini ukishaianza huwezi kuacha kila mwezi utajikuta unalazimika kuchukua
Wapi nimesema nimechukua salary advance?Wee mwanamke tajiri salary advance ya nini tena
Njoo nikukope kwa riba ndogo sanaMikopo inapatikana wapi kwa sie ambao hatuna salary slip na ambao ni bodaboda?
Poa naja.Njoo nikukope kwa riba ndogo sana
Kumbe una mihela ebu ngoja nije pm unipe mkopo basiWapi nimesema nimechukua salary advance?
Boda boda na the likes ni dhamana tosha kwa microfinance nyingi, unaweza kuacha kadi wakati unawazilishia marejesho yao, kikubwa ni kujiandaa na riba heavyMikopo inapatikana wapi kwa sie ambao hatuna salary slip na ambao ni bodaboda?
Hao microfinance wanatoa mkopo kwa dhamana ya kiwanjaBoda boda na the likes ni dhamana tosha kwa microfinance nyingi, unaweza kuacha kadi wakati unawazilishia marejesho yao, kikubwa ni kujiandaa na riba heavy
Mpaka unionyeshe a business plan template...sikopeshi mkopo wa kuhonga nyuchi, sitaki kushiriki hiyo dhambi aseeKumbe una mihela ebu ngoja nije pm unipe mkopo basi
Wee ebu wacha matani bwana...mie nichukue mkopo kwenda kutombea kwani sina akili🤣🤣🤣🤣Mpaka unionyeshe a business plan template...sikopeshi mkopo wa kuhonga nyuchi, sitaki kushiriki hiyo dhambi asee
Hata mimi nataka nielimishwe hapaHao microfinance wanatoa mkopo kwa dhamana ya kiwanja
Haaahaaa chizi weeWee ebu wacha matani bwana...mie nichukue mkopo kwenda kutombea kwani sina akili
Nipe mkopo ila ka laki tatu lazima nikatumie kula mbususu kujipongeza kupata mkopo toka kwa mwanajf
Definitely!!!Raha ya pesa ya mkopo,
Ipelekewe kwenye mradi wa biashara INAYOENDELEA.
Tatizo Kubwa LA watumishi wa Umma,
Pesa ya mkopo mnapeleka kwny
-kutatulia matatizo,
-kujengea nyumba za kuishi
-kunulia usafir binafs
-Kununulia Fenicha
Kwa Style hii,
Ni lazima ela ya mkopo iwe majuto
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli bwana mie naomba mkopo am seriousHaaahaaa chizi wee