Raphael phockus
JF-Expert Member
- Nov 4, 2018
- 778
- 4,518
Wadau kwa mtazamo wako, unadhani kitu gani kinaendelea hapo?
Naona kweli mkuu.Hapo dogo anatoa Lecture.Kilichoendelea wanakijua wenyewe wewe pambana na yako
umenikumbusha TALA mkuu
Jamaa anaomba kwenda kuchomoa betriiWadau kwa mtazamo wako, unadhani kitu gani kinaendelea hapo?View attachment 1200782
Jamaa anamshawishi binti ajiunge na kwaya ya kanisani kwao na binti karibu atakubali!Wadau kwa mtazamo wako, unadhani kitu gani kinaendelea hapo?View attachment 1200782
Hata sio zamani tu, hata sasa ndo zao huko mikoaniZamani ilikuwa raha sana
Sawa mkuuHata sio zamani tu, hata sasa ndo zao huko mikoani