BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 7,693
- 17,249
Habari zenu wana jukwaa?
Kuna kitu kinaendelea katika huu mtandao nimefuatilia naona sio sahihi na kama wanafanya sijui wanafanya kwa sheria gani.
Juzi kati hapa nilikuwa nachat na kipenzi cha roho yangu nikashangaa nikiandika neno "sex" katika sentensi zangu, text husika haiwi delivered ila mpaka ulibadili usiliandike kwa uhalisia wake ndo inakuwa delivered.
Nasema tigo ndo wanafanya hivi sio simu yangu maana nikibadili sim card nikiandika hilo neno nikatuma linakuwa delivered.
Wakuu kuna mwingine anapitia hili tatizo, plz share.
Kuna kitu kinaendelea katika huu mtandao nimefuatilia naona sio sahihi na kama wanafanya sijui wanafanya kwa sheria gani.
Juzi kati hapa nilikuwa nachat na kipenzi cha roho yangu nikashangaa nikiandika neno "sex" katika sentensi zangu, text husika haiwi delivered ila mpaka ulibadili usiliandike kwa uhalisia wake ndo inakuwa delivered.
Nasema tigo ndo wanafanya hivi sio simu yangu maana nikibadili sim card nikiandika hilo neno nikatuma linakuwa delivered.
Wakuu kuna mwingine anapitia hili tatizo, plz share.