Tujuzane changamoto za kuuza bhangi

Unataka kuwa sadali au pusha mkubwa kama unataka kuwa pusha mkubwa lazima uwe na mkwanja mrefu wa kutoa dawa kama gunia mbili kutoka Arusha, Mara,Morogoro,Mbeya au Malawi mzigo huo utakua bado haujachambuliwa wala kukatwa hivyo wewe utafanya kazi kuchambua kushabu na vichwa na kufunga kwenye stork ndogondogo au puli na kuwauzia masadali kwa kete hapo ndio utaanza kupiga hela ndefu na kutafutwa na wazee asubui,mchana na usiku kama unataka kuwa sadali wewe jiandae kubeba kibegi chako chenye rizla,kushabu,kali na dawa yenyewe ukiwa unaishi kama kunguru jela ndiyo patakua kama kwenu kwa kua hata ela utakayo pata haitoshi kuhonga wazee na viongozi wa mitaa ya biashara yako kama ukiwa chuga unachezea visu saa yoyote.Faida utakazo pata utakua hauna iyo arosto uliyo nayo pia utapata vijicent hauta kabwa mitaani kwakuwa vibaka ni wateja wako...
 
Daaaahhhh wazee hii business ya Bob Marley stick in noma, at any time unahisi ww ni wanted!


Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
 
Changamoto ni askali tu, faida ni kede kede.. mzigo wa 5000 unapiga mpaka 30 elfu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…