Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,658
- 15,813
Kuna koroboi kifaa na koroboi kipimo. U ve to be able to differentiate btn the two.Koroboi huwekwa mafuta ya kula?
Kuna koroboi kifaa na koroboi kipimo. U ve to be able to differentiate btn the two.Koroboi huwekwa mafuta ya kula?
Jiandae na magonjwa yanayosababishwa na lehemu nyingi.
Si tunaotumia alizeti uku sumbawanga hatuna ata wazo mkuu mafuta yakutosha tyuWaulize mama ntilie
Ya zamani sana hiyo bei... hata kabla ya sekeseke hili...15000 lita 5
Tahadhari ya kuzuia kupanda kwa bei ya mafuta? AU tahadhari ya kuyajaza mafuta ndani ya nyumba?Hamkuchukua tahadhari
Ubinafsi...Si tunaotumia alizeti uku sumbawanga hatuna ata wazo mkuu mafuta yakutosha tyu
Aiseee.... we wa kishua siyo..!!! Maana wa kishua ndo hawajuagi vipimo vitumikavyo huku kwetu... Koroboi, ndonya, pishi, kibaba, robo, kimbo..... etcKoroboi huwekwa mafuta ya kula?
Kivipi mkuuUbinafsi...
Duuuh koroboi pia ni jina lingine la kibatari kile kinachotumiwa na wauza samaki usikuHuku bara wanaita kibaba, nasi wa pwani twaita koroboi=Huku nilipo(bara)kibaba ni tshs:200/= tena ndani wanaweka kikaratasi ili kupunguza ujazo!
Kweli COMMON SENSE IS NOT COMMON... Yaani watu wazungumzie kipimo wewe uelewe KIFAA cha kuleta mwanga wakati wa kuuza samaki usiku..!!!!Duuuh koroboi pia ni jina lingine la kibatari kile kinachotumiwa na wauza samaki usiku