Tujuzane bei ya mafuta ya kula huko ulipo

Tujuzane bei ya mafuta ya kula huko ulipo

Usujali....we are working on it. Tunanyoosha nchi kwanza. Tunapunguza vitambi.
 
Inauma sana awamu hii sijuwi wanamatatizo gani kiutawala.Binafsi naona Bunge ndiyo linatusababishia hali ngumu.
 
Leo nimenunua lita 5 kwa tsh 21,500/-
Ova
 
Zile siku 3 alizotoa waziri mkuu Kassim Majaliwa ya kuongeza mzunguko wa mafuta zimeisha. Je bei imepungua? Km ipo ile ile tatizo lipo wapi na nn kifanyike?
Nimemsikia mkuu wa mkoa wa Arusha akisema wafanya biashara wameficha mafuta.
Kwa upande wangu naona tozo znazokadiriwa n TRA na Mamlaka ya bandar zipunguzwe ili bei ishuke n mzunguko urud wa kawaida na kwa haraka hasa kipind hiki cha kuelekea mfungo.
Mi bado sijajua kwakua sijaishiwa bado.
 
Hiyo koroboi huku ni taa.
Hebu soma maelezo toshelevu ya KVM. Ukubwa dawa.

Kibaba hakikutumika kupima vitu kama mafuta ya taa au ya kupikia. Kipimo ninachokumbuka mimi ni kikoroboi (kule kijijini kwetu). Naweza kuwa nimesahahu jina lake.

Kibaba kilikuwa kinatumika kupimia vitu kama mchele, maharage, ufuta, n.k. Vibaba vinne ni pishi moja. Kwa wakti ule pishi kama 30 hivi zilikuwa zinajaza gunia moja (gunia la jute).
 
Litre 5 ilikua 17,000 sasa hivi ni 22,000 kwa litre 5.
 
Mafuta ya alizeti au ayo artificial si uku alizet Lita 3500 hadi 4000
 
Back
Top Bottom