Tujuzane bei ya mafuta ya kula huko ulipo

Tujuzane bei ya mafuta ya kula huko ulipo

Zile siku 3 alizotoa waziri mkuu Kassim Majaliwa ya kuongeza mzunguko wa mafuta zimeisha. Je bei imepungua? Km ipo ile ile tatizo lipo wapi na nn kifanyike?
Nimemsikia mkuu wa mkoa wa Arusha akisema wafanya biashara wameficha mafuta.
Kwa upande wangu naona tozo znazokadiriwa n TRA na Mamlaka ya bandar zipunguzwe ili bei ishuke n mzunguko urud wa kawaida na kwa haraka hasa kipind hiki cha kuelekea mfungo.


Mi huku kwetu nakula tu mafuta ya nazi tena kwa bei rahisi na sina kabisa mpango na mafuta yaliyo expire toka nje.
 
Huku bara wanaita kibaba, nasi wa pwani twaita koroboi=Huku nilipo(bara)kibaba ni tshs:200/= tena ndani wanaweka kikaratasi ili kupunguza ujazo!
Dah...kibabs ni kipimo cha uzito....ambacho ni Sawa na kilo 2½......koroboi ni kipimo cha ujazo....ambacho ni Sawa na 50ml.....
 
Duh hapo ndipo hua nakumbuka kwetu KIGOMA maana kule hua tunatumia mawese tu yaani kipimo hua kinaanzia sh 100 na unaunga maharage yako swaaafi kabisa ila huku ugenn twataabika tu..... Kufahatufi ila mazngaombwe tutaendelea kuyaona.
 
Zile siku 3 alizotoa waziri mkuu Kassim Majaliwa ya kuongeza mzunguko wa mafuta zimeisha. Je bei imepungua? Km ipo ile ile tatizo lipo wapi na nn kifanyike?
Nimemsikia mkuu wa mkoa wa Arusha akisema wafanya biashara wameficha mafuta.
Kwa upande wangu naona tozo znazokadiriwa n TRA na Mamlaka ya bandar zipunguzwe ili bei ishuke n mzunguko urud wa kawaida na kwa haraka hasa kipind hiki cha kuelekea mfungo.
Usiyashabikie kwani ni hatari kwa afya yako vikiwemo sukari na chumvi.
 
Hapa nilipo mafuta lita 1 ni 5000/= ccm juu, juu zaidii..
 
Wengine sisi tumezoea kula chukuchuku tu.....

Ova
 
Jengeni tabia ya kuwa na long term purchases ..

Mi naskia kwa mitandao tu ...sjui mafuta.. Sukari..

Weka stoke ya kutosha nyumbani.
Ni sawa lkn vipi kwa ambao kipato chao ni kidogo sana watafanyaje? Pia hata wewe unaeweka stock hiyo stock ikiisha wakati kama huu utakuwaje!!!?
 
Huku kwetu tunatumia mafuta ya alizeti tu na yanauzwa lita tano kwa 18,000/- kwa sasa
 
Niko mtwara. Ndoo ya lt 10 yauzwa kwa tsh. 35000 hadi 36000. Habari ndio hiyo
 
Back
Top Bottom