Watanzania na Waafrica tuna akili na uwezo kama wenzetu wa mabara mengine. Lakini tujiulize hata ukiangalia mika 20 tu iliyopita ugunduzi sehemu mbalimbali umefanywa na watu wanaoishi nchi za Mangaribi ukiangalia kwenye teknologia pekee. Hata wahindi hatuchekani kuna wahindi wengi wamegundua vitu lakini wanaishi karibu wote nchi nyingine.
Sasa tujiulize je ni mazingira gani ambayo yameturudisha nyuma. Mimi naoumia sana Bill gates ambaye ni mgunduzi akija Tanzania ni kusaidia tu lakini sijawahi kusikia tunaomba tusadie mbinu au teknologia tunaomba pesa tu za Afya na chanjo.
Je tunatoa elimu ya kisasa kwa watoto kuwa wabunifu
Je Tunasikilizana au ni kupigana madongo tu bila tija.
Sasa tujiulize je ni mazingira gani ambayo yameturudisha nyuma. Mimi naoumia sana Bill gates ambaye ni mgunduzi akija Tanzania ni kusaidia tu lakini sijawahi kusikia tunaomba tusadie mbinu au teknologia tunaomba pesa tu za Afya na chanjo.
Je tunatoa elimu ya kisasa kwa watoto kuwa wabunifu
Je Tunasikilizana au ni kupigana madongo tu bila tija.