Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 118
Nawapeni heshima Members JF!
Naingia tena na hili la ku-brush bongo zetu.
1-Kuna watu idadi zao wapo Mia Moja...
2-Zipo kilo za nafaka Mia Moja...
Hawa watu wapo makundi matatu...
(i)kundi la kwanza wagawane kilo mbili.
(ii)kundi la pili wagawane kilo tatu.
(iii)kundi la tatu wagawane nusu.
Hii hisabu itakuaje?
Nawakilisha.
Naingia tena na hili la ku-brush bongo zetu.
1-Kuna watu idadi zao wapo Mia Moja...
2-Zipo kilo za nafaka Mia Moja...
Hawa watu wapo makundi matatu...
(i)kundi la kwanza wagawane kilo mbili.
(ii)kundi la pili wagawane kilo tatu.
(iii)kundi la tatu wagawane nusu.
Hii hisabu itakuaje?
Nawakilisha.