PreGE2025 Tujikumbushe ya Askofu Gwajima

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Mbona mtu akimkosoa gwajiboy kwa ahadi zake za uongo anaonekana ni ccm
Hilo swala halina cha uchadema wala uccm.kwa hiyo kwako wewe mtu akipinga mauaji,utekaji,utesaji na ubakaji unamuona ni mshabiki wa chadema siyo
 
Na bado hamjasema, Gwajima ni tajiri hata kabla ya ubunge, hatafuti huruma kurudi bungeni.
 
Anaeleweka sana mzee baba. Hujaelewa kipande kipi?
 
Tunasubiri wasiojielewa wamjibu hii nchi sijui inapelekwa wapi na watu wa kushauri akina JK wapo wapo wanachojali ni maslahi yao tu
 
Huwez mwelewa Kwasababu kwanza Una matope mengi kichwani, kama ulikua unapata tabu kukuelewa Mwalimu wako alokufundisha A E I O U, utamwelewa Gwajima???
 
Wewe ni muongo na mkurupukaji.
 
Mashabiki wa chadema walivyo nyumbu wanamtetea kwa nguvu zote.
Hivi dada una mtoto!!? Kama unaye ukisikia ametekwa na kuuwawa utajisikiaje? Hii sio issue ya chadema ni issue ya uhai wa binadamu wenzako. Kwani unafikiri watu wote wanaoumia kwa watu kutekwa, kuumizwa na kuuwawa ni wafuasi wa chadema pekee? Na kama unafikiri ni wafuasi wa chadema maana yake unataka kusema wanaoteka ni upande wa pili??

Kuwa na utu dada yangu I have known you here at JF for a long time ila siamini kama unaweza kuwa low kiasi hiki. Hii ni dunia tu dada na wote tutaondoka.
 
Labda ni wewe tu hujamwelewa lakini kaeleweka sana
 
Panya mmewekewa pumba kidgo mmeanza kutoka mashimoni mmoja baada ya mwingine
 
Tulia mwenyewe mbeya mjini hakuna alichofanya ndio maana amekimbia jimbo kwenda jimbo jipya la Uyole, na huyo ni spika.
🀣🀣🀣🀣 umepigaje hapo!!
 
Kwa hi
Kwa hiyo unataka tukuelewe wewe pimbi usiyejulikana au Askofu wetu Gwajima?
 
Mtetezi wa wabakaji na mafisadi huyu hapa.
 
Kati ya vitu sipendi ni kupangiwa vya kukoment. Wewe ndio umeiona leo hii comment yangu ya aina hii!!?? Msiwe nyumbu kufuta mkumbo. Ngwaji yupo ccm huko anatetea maslah yake. Alikua wapi wakati mzee kibao anauliwa? Lissu alipokamatwa alikua kimyaaa kaona muda wa teuzi za ubunge umekaribia ndo kaanza kuropoka tena na nyie mnamshangilia na kuuliza mna mtoto una nyenye nyee. Hao hao enzi zile mkitajiwa kitu mnakimbilia kutaja ben saanane saiv mmemsahau hata akwilina. Mnapelekeshwa tu.

Si mlimuombea magufuli afe kama adhabu ameshafariki kitambo ila mambo mliyokua mnamsingizia yamebaki na yanazidi. Mnatakiwa mjue hamgombani na mtu bali taasisi na taasisi yenyewe gwaji yumo na posho, marupurupu ya kila aina anayapata. Kama alikua na uchungu angejiuzulu mapema. Mtu kazoea kula sadaka akiwahadaa waumini sembuse nyie mnaojiita wapenda haki. Keyboard warriors.

Fanya hivi hio heshima itue au uitoe kabisa kisha click ignore button hutaniona mkuu
 
Wewe na familia yako ndo hamumuelewi
 
Hii haina shida, hayo yamepita and now we are looking at what is on the table now! Watu wanatekwa, wanauwa, wanapotezwa. hizi ndizo facts za sasa on the table. Clip hizo tupa kule!

1+1=2. Basi he is correct regardless of the past mistakes in mathematics!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…