Mwinyi_ole_mushi
JF-Expert Member
- Oct 29, 2015
- 1,610
- 4,354
Sitasahau mpuuzi fulani alikuwa anafundisha PATHOLOGY siku Moja nikamuulizaga swali nilichojibiwa "sifugi mamba asiyetafuta samaki" nenda kachimbe , hapa nawapa mwanga tu.
Chuo gan?
Sitasahau mpuuzi fulani alikuwa anafundisha PATHOLOGY siku nikamuulizaga swali nilichojibiwa "sifugi mamba asiyetafuta samaki" nenda kachimbe , hapa nawapa mwanga tu.
Ilibidi tu nikachimbe mwenyewe tu, ila sikutegemea kama ningepewa jibu kama lileMbona hii imekaa poa tu mkuu? Si ulitafuta au uli zira na wewe?
Mbabe damas nyaoro .....wazee wa COET mtakua mnajua vizuri mbabe huyu....siku moja kwenye Ue yake ya foundation engineering kuna swali darasa karibu zima tulijua kuna constant inabidi approvide tusolve swali mshikaji moja kagonga kuulizia ukapigwa bonge la mkwara "DON'T ASK FOR A SOLUTION ASK FOR CLARIFICATION "
Katesa sana watu mbabe huyu tushaandamana asinamishwe chuo tukaishia kupigwa suspension sisi
Hahaha huyu jamaaa na kamkono kake kanatetemeka hapo."You wiri fairi" akimaanisha u will fail
Babu Sago UDSM Mlimani Campus
Huyu bwana alikuwa na mwanae dr Ossoro. Mweusi hivi duh second year pale intermediate economics. Haeleweki sauti ndogo..alikula vichwa vingi saana.Wapi Prof. Ossoro wa Economics UDSM???
Wenye maringo alikuwa na rafiki yake wakati huo Dr. Mark Mwandosya.Hawa walikubuhu kwa maringo na dharau kwa wahadhiri wa kizungu wakati huo wengi wao wakiwa wajerumani.Niliwahi kuambiwa na rafiki yangu aliyekuwa anasoma Engineering hapo udsm kuwa prof.Luhanga naye ni mtata na ana majivuno ya chinichini. Kumbe ni kweli!
But hawa sio wa kubezwa, ndio waliofanya muongeze bidii hadi mmefika hapo mlipo.
Binamungu ni Habari nyingine kwa waliosoma Law Mzumbe Duu...Bin A mungu!Mwalimu Binamungu wa Mzumbe, Mwalimu Mniwasa wa IFM tukimalizia na Mwalim Ken, wa uchumi UDSM. Huyu alikuwa anatoa mihadhara pale Nkuruma hall akiongea kwa pozi na sauti ndogo, alipoambiwa atumie mic, akagoma, akasema, I am not a rapper!
Daaa namjua Karamagi pale Economics Department nilikua namuogopa kama ukoma,sijui yupo hadi leo i don know!Kuna bwana mmoja anaitwa karamagi. Department ya economics huyu bwana na alikuwa anamikwara saana. Lazima asapishe shuttle(coaster) sita. Watu watakao wap wajaze min bus sita. Sasa hapo tunaosoma coz husika tupo mia nakitu...!
Kuna kipind alipotea akarudi miaka ya 2014 sijui hivi sasa. Huyu mhaya dah...Daaa namjua Karamagi pale Economics Department nilikua namuogopa kama ukoma,sijui yupo hadi leo i don know!
Osoro kanitesa sana siji kumsahau mbwa yule,sikuamini kama nimemaliza chuo!Wapi Prof. Ossoro wa Economics UDSM???
Kitururu anakwambia ntatoa quiz hapa ntawaruhusu mgoogle mtakavyo mdiscuss mtakavyo lakini hamna atakayechomokanamkumbuka UDOM kuna jamaa anaitwa Kitururu wa MS 200 Quantitative methods for Business decision anatunga mtihani hapo chini anaandika
"NO OXYGEN"
na kweli chumba cha mtihan lazima ukose oxygen!
Kumbe muhas kuna vilazaMaisha ya raha tu hayawezi kumfunza mtu. Katika maisha lazima upitie kipindi kigumu walau cha kukupima uwezo wako wa kukabiliana na changamoto.Hata elimu iko katika mkondo huu, kuna wakati chuoni tulipitia magumu katika baadhi ya kozi hata kukata tamaa. Lakini pia baadhi ya wahadhiri walifanya maisha haya yawe magumu kwa ubabe wao na kauli zao tata. Hebu tujikumbushe hao wahadhiri ambao walitufanya tuone maisha ni magumu.
I will never let my government down. Siwezi nikaruhusu kilaza avuke mwaka na kwenda kuua watanzania-Dr.Thomas Nyambo, Biochemistry MUHAS