hahahaa.. huyu Mlay ndo wa mathematics?Chuo hamna tuisheni, Kama haujaingia kwenye lecture yangu, siku ya mtihani ndo utajua kuwa dar es salaam ni jiji au ni mkoa. ..........Mlay
hahahaa.. huyu Mlay ndo wa mathematics?Chuo hamna tuisheni, Kama haujaingia kwenye lecture yangu, siku ya mtihani ndo utajua kuwa dar es salaam ni jiji au ni mkoa. ..........Mlay
hahahaa.. huyu Mlay ndo wa mathematics?
Nyie wote cha mtoto Dr Kakiko udsm Engineering mathematics,sitaki hata kukumbuka
huyo mzee alitufundisha Foundations of Analysis. anasema "this is MT100 ya University of Dar es Salaam. siyo chuo cha nyuki Tabora wanakofundisha kuchonga mizinga.
Mwalimu wangu wa la saba
"Usifikiri shule umekuja kusomea ujinga".
Mwisho wa kunukuu.
huyo mzee alitufundisha Foundations of Analysis. anasema "this is MT100 ya University of Dar es Salaam. siyo chuo cha nyuki Tabora wanakofundisha kuchonga mizinga.
Dah nimecheka kinoma'Nyie Watoto Kama kuna kitu mmenizidi basi ni Urefu Na Umaskini tu'- Mlacha Udom
Hahahaunafaa kua mkulima , chuo umefata nn(?.. nmemsitiri jna kiubinadamu tu.
Thread nzima hamna Prof Tesha na Dr msemwa wa MIE?
Dr willy pale udsm anafundisha yanaeleweka, lakini pepa zinatoka Mars
Hapa katisha"Ukifa umekufa kwa uzembe wako" sitamsahau huyu Ssgt.
mkuu umeongea kwa uchungu sanaKumbe umepiga udom. Aisee hili somo amekuja kulipokea Bwana mmoja anaitwa Nyondo... alinifanya niishi kama vile.niko vietnam.. kumbe niko info.
Nyondo kukote ulipo ulaaniwee.. aisee
Tenga is the best of the bestMkuu Fimbo ni jabali, kumshinda kesi si rahisi sana, ingawaje kapoteza kadhaa kwa Dr Tenga
Kwakweli huyu ni mwalimu haswa!
Sentensi yake hiyo huwezi ipinga kwa hoja yoyote.Simple and clear!
Ni kama prof wangu wa Electrical Power Systems Circuits,uki-calculate voltage into three decimal places ukakosea 3rd decimal number,anakwambia utaunguza grid ya taifa hufai lazima urudi SUP...
The nigga was savage!
HahahaKcmc pale school of pharmacy nlibanwa na oral exam ya pharmacotherapy...asee jamaa aliniuliza swali jib nlilotoa akanambia "you are speaking catterpillar language to a butterfly i dont understand you" kajipange kwanza...dah ctasahau
Kcmc pale school of pharmacy nlibanwa na oral exam ya pharmacotherapy...asee jamaa aliniuliza swali jib nlilotoa akanambia "you are speaking catterpillar language to a butterfly i dont understand you" kajipange kwanza...dah ctasahau