King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,670
- 68,631
Umofia kwenu wana JF,
Miaka ya 1972 Mwalimu alianzisha vijiji vya ujamaa katika mikoa yote ya Tanzania,kwa upande wa Mzizima (DSM) kulikuwa na vijiji vya Kibugumo,Kimbiji,Mwanaliwato na Gezaulole.
Lengo lilikuwa vijana waachane na biashara za umachinga,uchuuzi kuuza njugu na korosho kwenye nylon na kujikita kwenye kilimo cha pamoja chenye tija.
Serikali ya CCM imejaribu kuiga baadhi ya fikra lakini wanadondokea pua,kuanzia kilimo kwanza mpaka big result now hakuna kitu.Tuanzisheni vijiji vya ujamaa ili kukuza uchumi wetu na kuwaondoa vijana mijini na biashara za uchuuzi na kuwapeleka vijijini huko na kulima kitaalamu,kwa sasa tuna wasomi wengi na zana za kutosha katika ulimaji wa kisasa tofauti na miaka hiyo ya 72',Tanzania karibu 70% ya ardhi haijawahi kuguswa kabisa.
Miaka ya 1972 Mwalimu alianzisha vijiji vya ujamaa katika mikoa yote ya Tanzania,kwa upande wa Mzizima (DSM) kulikuwa na vijiji vya Kibugumo,Kimbiji,Mwanaliwato na Gezaulole.
Lengo lilikuwa vijana waachane na biashara za umachinga,uchuuzi kuuza njugu na korosho kwenye nylon na kujikita kwenye kilimo cha pamoja chenye tija.
Serikali ya CCM imejaribu kuiga baadhi ya fikra lakini wanadondokea pua,kuanzia kilimo kwanza mpaka big result now hakuna kitu.Tuanzisheni vijiji vya ujamaa ili kukuza uchumi wetu na kuwaondoa vijana mijini na biashara za uchuuzi na kuwapeleka vijijini huko na kulima kitaalamu,kwa sasa tuna wasomi wengi na zana za kutosha katika ulimaji wa kisasa tofauti na miaka hiyo ya 72',Tanzania karibu 70% ya ardhi haijawahi kuguswa kabisa.