Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,496
- 31,152
Kama miaka kumi iliyopita kuna wafanyabiashara wa madini walikuwa nane walikuwa wanaenda Mahenge walipofika nanenane walimiminiwa risasi na Polisi wakidhaniwa ni majambazi akiwemo aliyekuoa mfadhili wa bendi nyingi za muziki mjini Darisalama aliyeitwa JB
Mnaokumbuka vizuri tukio hili mtukumbushe.
Mnaokumbuka vizuri tukio hili mtukumbushe.