Lakini dhahabu yetu ilikuwa salama, leo unauza dhahabu unapewa sabuni, nimeamini machifu Mangungo bado wapo.Usitukumbushe enzi hizo, hata sabuni za kukogea ilikuwa hamna.
hii ukipatikana uongozi wenye uanaume haishindikani kabisa; weka amri na utaratibu tu wenyewe wananyooka.
Siku hizi kuna mabasi maridadi sana. wangeyatumia hayo huku tukipata pesa za dhahabu na almasi kama inavyotakikana tungeweza hata kupandisha chombo cha utafiti angani.Lakini dhahabu yetu ilikuwa salama, leo unauza dhahabu unapewa sabuni, nimeamini machifu Mangungo bado wapo.
Hivi kwa nini wasituwekee masharti magumu? Mimi huwa wakati mwingine siwaelewi hawa wahisani wanaona kabisa kuna mismanagement lakini wanatupa misaada bila kutuwekea masharti magumu. Wana yao hao wengi wao wanajivunia mimali asili yetu kwa kubadilishana na tumisaada twao.Wenzetu wanaotupa misaada kama Denmark hata PM wao anatumia baiskeli!!
Huu mfumo wa sasa ni wizi tu ulioandaliwa toka enzi za Mzee Ruksa!