johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,957
- 141,944
Kuna Watu wanaichukulia CCM kizembe zembe lakini chama hiki kina mikakati ya maendeleo kwa Miaka mingi sasa
Tokea mwenyekiti Mwalimu Nyerere CCM imekuwa ikimiliki vitega uchumi.na Miradi mbalimbali mfano Viwanja vya Michezo Sokoine, Kirumba, Majimani, Samora nk....nk
Shule mbalimbali ikiwemo Kaole na Mwembetogwa
Shamba la mfano Ihemi Iringa
Chuo cha Siasa Kivukoni
Kituo cha television Channel ten nk...nk
CCM ni Chama Cha Maendeleo na Demokrasia ya kweli siyo ya Mchongo kama ile ya Ufipa st
Mungu wa mbinguni awabariki wote!
Tokea mwenyekiti Mwalimu Nyerere CCM imekuwa ikimiliki vitega uchumi.na Miradi mbalimbali mfano Viwanja vya Michezo Sokoine, Kirumba, Majimani, Samora nk....nk
Shule mbalimbali ikiwemo Kaole na Mwembetogwa
Shamba la mfano Ihemi Iringa
Chuo cha Siasa Kivukoni
Kituo cha television Channel ten nk...nk
CCM ni Chama Cha Maendeleo na Demokrasia ya kweli siyo ya Mchongo kama ile ya Ufipa st
Mungu wa mbinguni awabariki wote!