MeinKempf
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 11,092
- 7,236
Kuna vitabu mbali mbali vya riwaya tulivyobaatika kuvisoma pindi tulipokuwa vidato fulani vya sekondari,
kama ndivyo naomba tukumbushane baadhi ya matukio amabyo yalikukuna sana kiasi kwamba hujayasahau mpaka leo katika kitabu hicho cha IS IT POSSIBLE ?
Lengo hapa ni kukumbuka baadhi ya matukio yaliyogusa maisha yetu (hasa ya shule) ya kipindi cha nyuma tulipokuwa tukisaka tonge.
karibu kuchangia mawazo yako.
kama ndivyo naomba tukumbushane baadhi ya matukio amabyo yalikukuna sana kiasi kwamba hujayasahau mpaka leo katika kitabu hicho cha IS IT POSSIBLE ?
Lengo hapa ni kukumbuka baadhi ya matukio yaliyogusa maisha yetu (hasa ya shule) ya kipindi cha nyuma tulipokuwa tukisaka tonge.
karibu kuchangia mawazo yako.