Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyerere alikuwa nabii kwa Kweli kiongozi bora sana
Tumebahatika kumpata Magufuli anafanya vizuri sana pia
Hivi inawezekana kweli? Kusifia kitu usichokielewa au kukiaminiNyerere alikuwa nabii kwa Kweli kiongozi bora sana
Tumebahatika kumpata Magufuli anafanya vizuri sana pia
Kwan yeye ndiye Mtanzania peke yake ? Mwinyi, Mkapa na Kikwete walikuwa na nafasi nzuri sana ya kubadili katiba kwa nn hawakufanya hivyo? Kikwete alikoroga sanaInteresting lakin haitusaidii kwasasa,
Kama alijua hivyo kwanini hakubadili katiba mapema
Hahahaa.....wejamaa ni noma, huna mshindani....naona umechukua uwenyekiti wa wanachama wa buku 7 hapa JF, na unaitendea vizuri nafasi yako.Nyerere alikuwa nabii kwa Kweli kiongozi bora sana
Tumebahatika kumpata Magufuli anafanya vizuri sana pia