IKUNGURU IJIRU CHUKU
JF-Expert Member
- Feb 27, 2021
- 484
- 547
NAIKUMBUKA HII SIKU
Hukuweka picha moja ya muhimu.
Wengi walionda kupata kikombe hata na mtoa kikombe wameshaenda Mbinguni.
Hii ni kuonesha ni jinsi gani uhai unapiganiwa.
Hiyo hiyoInataka picha ya jiwe? Naye alikunywa.
Siyo kweli, waliokwenda ndo wajinga namba moja nchini.Huyu mzee ndo tapeli namba moja nchini
Mkwe....Hukuweka picha moja ya muhimu.
Wengi walionda kupata kikombe hata na mtoa kikombe wameshaenda Mbinguni.
Hii ni kuonesha ni jinsi gani uhai unapiganiwa.
Huyu mtu anawatesa Sana, kati ya Malaki walioenda bado mnamuwaza JPM tuu utafikiri chadema hawakwenda.Hiyo hiyo
Camera man sasa kule nyuma🤣
Kumbe....Huyu mdingi baada ya hiyo makitu yake, alipaswa awe na fuba chafu, lakini hadi anafariki hakuwa na ukwasi wowote wa kutisha...
Ila Jiwe alikuwa anatupia mikoti ya ajabu ajabu