Conclusion ya huu uzi ni kumnanga marehemu fulani hivi
Hahahaha Tanzania Ina viongozi wa hovyo sana imagine presidential material wa CCM 2015 nae alikua kwenye chain ya wajinga wa KarneConclusion ya huu uzi ni kumnanga marehemu fulani hivi
Daaah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu mzee ndo tapeli namba moja nchini
Koti kubwaaIla Jiwe alikuwa anatupia mikoti ya ajabu ajabu
Akifatiwa na mzee wa 900 itapendeza.Daaah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe MATAGA acha kulia lia! Sasa na wewe si ungeweka hizo picha za hao Chadema waliokwenda kunywa kikombe cha Babu, ili sisi watazamaji tuendelee kufaidi?Huyu mtu anawatesa Sana, kati ya Malaki walioenda bado mnamuwaza JPM tuu utafikiri chadema hawakwenda.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
kitu ambacho hujui ni kwamba hata wazungu huja huku kwenda kwa waganga wa kienyeji na kupewa mutishamba,unaambiwa huko kahama kuna mtu mweusi alikuwa na misukure ya kizunguHahahaha Tanzania Ina viongozi wa hovyo sana imagine presidential material wa CCM 2015 nae alikua kwenye chain ya wajinga wa Karne
Waliohadaiwa ya kwamba Kuna dawa ya kienyeji inatibu magonjwa sugu Kwa
Tsh 500 tu
Aahaa Hapana Kuna vitu vingine vinashangaza sana Afrika!
😁😁😁😁🔥🔥🔥
Acha kunilisha maneno ya kujifariji mzungu Gani aje achukue dawa za mitishamba Kwa ma witch doctors wa Gambosh?kitu ambacho hujui ni kwamba hata wazungu huja huku kwenda kwa waganga wa kienyeji na kupewa mutishamba,unaambiwa huko kahama kuna mtu mweusi alikuwa na misukure ya kizungu
wacha kukejeli dawa asili maana hata vidonge vimetoka huko
Ndy kilicho muuwa icho kikombe
Huyo camera man wake,duuu
Tulipokua wadogo kulikua na meno ya plastic kwa watotoKwa Tanzania haiwezi kupita miaka 10 bila kituko.
Nakumbuka Kuna kipindi alizuka popo bawa.
Unaitaka ile picha "yangu" nimevaa koti oversized huku nabugia kikombe?😂😂😂😂Hukuweka picha moja ya muhimu.
Wengi walionda kupata kikombe hata na mtoa kikombe wameshaenda Mbinguni.
Hii ni kuonesha ni jinsi gani uhai unapiganiwa.