JAMANI wako wapi hawa akina :
1. Ole Sendeka? anastahili kupewa kadi ya cdm atakuwa mpambanaji mzuri.
2. Stephen Wasira? slaa kaiba pesa za kanisa!!!! cjui kwa nini anamchafua maskini wakati si mgombea!!!!! apunguze
kulala bungeni.
Ubaya wa kauli chafu zikishatoka kinywani hazisafishiki tena! Sijuwi watu wataweka wapi sura zao maskini!
aiseejamaa wanajua kuremba picha na kuzodoa...maana walisema watu wanaenda kushangaa chopakauli za kina alsahafu zingine hz.... sasa hv ni saa 12 asubuhi viwanja vya kingori tayari vimeshajaa malaki ya watu yameshafika na malaki mengine yanaendelea kuingia ni kama chadema ishakufa....