Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
gazet la RAI likakazia kuwa utafiti unaonyesha CCM inaongoza more than 60 percent
..sijui walitafiti wapi
itakuwa kwenye keyboad tu kwakuandika wanachojisikia
gazet la RAI likakazia kuwa utafiti unaonyesha CCM inaongoza more than 60 percent
..sijui walitafiti wapi
wassira= SO....KWE
kauli za kina alsahafu zingine hz.... sasa hv ni saa 12 asubuhi viwanja vya kingori tayari vimeshajaa malaki ya watu yameshafika na malaki mengine yanaendelea kuingia ni kama chadema ishakufa....
Tena wapo wengi..huyo wa kuongea na wapo wengine wa matendo ya ajabu..wengi tuKumbe wana CCM wahuni sanae, inakuwaje wanawatia mimba wanaCDM wote? Ndiyo yaliyojiri huko Bungeni ama? Mtu mzima huwezi onge hivi. Lakini najua jamaa ananijua sana kwani kasema yeye ni kichaa/mwendawazimu wa kuzaliwa. Kwa nini aende bungeni wakati yeye ni kichaa? Kikwete Baba chonde ukimwacha nawe tutakufikiria vibaya.
CHADEMA ikishinda arumeru hakika nitajinyea - Nchemba.