SALOK
JF-Expert Member
- Sep 20, 2011
- 3,318
- 1,936
Hivi kauli za viongozi hawa baada ya kustaafu kwao wanafaa kuwa walezi wa Taifa hili kweli?
B. P. MRAMBA; (kuhusu ndege ya Rais) "lazima inunuliwe ikiwezekana wananchi wale nyasi!"
MAGUFULI; "mkiona nauli kubwa pigeni mbizi!"
B. W. MKAPA; (mgodi wa ......!!) "watu wanawivu wa kijinga"
WASSIRA; "........mvua? nani kawaambia mimi ni waziri wa mvua?"
ONGEZEA UNAZOZIKUMBUKA!
B. P. MRAMBA; (kuhusu ndege ya Rais) "lazima inunuliwe ikiwezekana wananchi wale nyasi!"
MAGUFULI; "mkiona nauli kubwa pigeni mbizi!"
B. W. MKAPA; (mgodi wa ......!!) "watu wanawivu wa kijinga"
WASSIRA; "........mvua? nani kawaambia mimi ni waziri wa mvua?"
ONGEZEA UNAZOZIKUMBUKA!