Nilisoma huyo shule...I miss my school...good life was there
Mwaka 2006 hii ilikuwa special school??wakuu nimewakumbuka Sana ndugu zangu tuliomaliza ilboru boys form four 2006,nimemis umenyeni,kitei, dah kayamba langu, Kuoga mtoni, R.I.P chief, Mgaya, dah felista canteen hatar
Wapi mama mpishi,babu mapengo,mzee wa kutoa ofa za pombe ankali....uncle..jooooy..john,ukiwa kiongozi makande na utumbo atakujazia lakini lazima uwe nani ...wa..ke.[/QUOTE du umemkumbuka uncle John mpish mkuu alikuwa na kashfa hatar
Dah mkuu wewe ni wa 2006?...unaitwa nani ndugu?Obrey ngaleson , brian ovin, Desmond, onesmo, James Lufulenge, alocye Godfrey, mangi, Reagan chalks, hatar nimewakumbuka Sana class of 2006
Omari mtaita Shabani form 4c na Akina Rajabu mapunda,Dah mkuu wewe ni wa 2006?...unaitwa nani ndugu?
Rajab Mapunda namsoma, ila wewe sijakufahamu au nunamaanisha Omar George? ulikua unakaa Oldonyo form 3, kisha ukaenda rungwe?Omari mtaita Shabani form 4c na Akina Rajabu mapunda,
yah nilikaa rungwe na Aminiel Kabula, edward n solo,yah Omari GeorgeRajab Mapunda namsoma, ila wewe sijakufahamu au nunamaanisha Omar George? ulikua unakaa Oldonyo form 3, kisha ukaenda rungwe?
Were umesoma wapi mkuu?Kuna m'ilboru kweli alishawahi kugundua kitu kikaleta tija katika jamii, kama yupo aweke hapa, kama hayupo basi mnieleleze kipaji maalum maanaake nini? Ni uwezo wa kukariri tu au kuna LA ziada?
Ilboriasis msuliataMTEGO= kideo cha Shule
KATARA= mtu ambaye alikuwa na kichwa kikali, anafananishwa na lile gari la shule la bluu
KWA MAMA BENII= kibanda ambacho baadhi ya member wanakula fegi
PICHI= uwanja wa mpira, kule kilimani karibu na Nyumba ya headmaster.
ILBORIASIS MSULIATA= scientific name ya mwana ilboru


From elboriasis bundiata to elboriasis msuliata...very funny kwa sio tuliosoma mjini kisutu girls tumekosa mengi!Duuh nimekumbuka zamani kidogo.
Elboriasiss bundiata - hii ilikuwa scientific name ya wana ilboru ( au ILBOYS) siunajua mabundi hawalali.
Munakumbuka Ile njia ya Midizini waalimu wote waliiogopa isipokuwa CHIEF pekeyake na akikukamata umekwisha. Lakini wenginie tulimjua mpenda sifa ukimsifia anakuacha mf. Duuh Mwalimu wewe noma yaani umenikamata mimi sijawahi kukamatwa anakuachia uondoke