Tujifunze kutunga hadithi short and clear

Tujifunze kutunga hadithi short and clear

danali

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2012
Posts
1,135
Reaction score
1,675
Kulikua na mkaka na mdada, walionana, wakapendana, wakaowana, walipozaa wakafa stori yao ikaishia apo.

Lete yako ambayo iko short na inaelimisha kama io :coffee:
 
hapo zamani moyo na ndevu walikuwa marafiki wakubwa, ikatokea cku moja ugomvi mkubwa baina yao, Moyo akampa kichapo ndevu na kukimbia; lahaulaaaa moyo akamkuta binadam anapiga mihayo akazama mdomoni mwa binadam na kujificha,
hadithi itaendelea moyo akitoka nje!!
 
Mtu na mpnz wake walienda zanzbar kuponda raha cku ya valentine hadith itaendelea wakirud!
 
hadith hadithi.....??? thema (hadithi utam koleaaaaaaaaaaaaaaaaa)
hapo dhaman dha kale alitokea baba mmoja na mama mmbili na mtoto mtatu........
mbona hamnithikilidhi thatha bathi me naacha....aaarrrrrrghh
 
Hiki ni kipindi cha mapishi, leo tunajifunza kupika nyama ya kuku, kwanza unamkimbiza kuku kwa ajili ya kumchinja ila samahani naona haitawezekana kuendelea kuku kaingia barabarani na ni hatari unaweza gongwa na gari
 
Hiki ni kipindi cha mapishi, leo tunajifunza kupika nyama ya kuku, kwanza unamkimbiza kuku kwa ajili ya kumchinja ila samahani naona haitawezekana kuendelea kuku kaingia barabarani na ni hatari unaweza gongwa na gari

Mkuu, waombe madereva wasimamishe magari yao ili ukamate kuku wako ready to be eaten., au atachinjwa na tairi hlf wewe unamchukua.
 
Hiki ni kipindi cha mapishi, leo tunajifunza kupika nyama ya kuku, kwanza unamkimbiza kuku kwa ajili ya kumchinja ila samahani naona haitawezekana kuendelea kuku kaingia barabarani na ni hatari unaweza gongwa na gari

ha ha ha ha weka mbal na watoto
 
Kulikua na mkaka na mdada, walionana, wakapendana, wakaowana, walipozaa wakafa stori yao ikaishia apo.

Lete yako ambayo iko short na inaelimisha kama io :coffee:

Acha kuharibu Kiswahili, mkaka na mdada ndo nini?
 
hii hadithi inagusa sana

alikuwe. baba NHS motto wanaenda mjini gafla mtoto akamgusa mbwa tens akamgusa mgongo tena kichwa ...... hadithi yangu. imeishia apo inagusa
 
Kulikua na mkaka na mdada, walionana, wakapendana, wakaowana, walipozaa wakafa stori yao ikaishia apo.

Lete yako ambayo iko short na inaelimisha kama io :coffee:

Mbona unajiweka katika position ya maswali?haiko clear kabisa
 
Back
Top Bottom